Getang'wan
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 3,075
- 3,413
Kwani kuna haraka gani kupanda cheo sasa hivi? Watu walikaa miaka 5 bila bila, wewe unazungumzia mwaka?Kwa hiyo kesi ikichukua mwaka na jamaa asipande cheo kwa muda wote huo? Kumbuka mpaka sasa wapo kwenye kesi ndogo kesi ya msingi aijaanza kusikilizwa