Mambo saba yanayoleta mahaba katika ndoa

Mambo saba yanayoleta mahaba katika ndoa

Wew ndo unasena hayana formula lakin wanaowafanyia Haya waume zao wao ndo wanajua ukweli was mambo
Sijamkatalia...elewa my point,anaweza akayafanya hayo na mwanaume/mwanamke akatulia ama anaweza akayafanya na bado asitulie ndani...kuna wanaume hadi wanaimbiwa nyimbo wakati wa kula...mwanamke katulia pembeni anampepea mumewe huku anaimba lakini mwanaume wapiii.....
 
Wewe Fanya hayo yote sasa halafu usitafute pesa kwa ajili ya matumizi na maendeleo ya familia, utaisoma namba!
 
Ili maisha ya ndoa yaende na ndoa idumu sometyms inabidi ujifanye fala tu kupunguza msongamano..Maana kumwelewa na kumridhisha mwanamke kwa kila atakacho ni mtihani mgumu sana..Ukimfanyia hiki kesho atakuja na kile..ukifanya kile kesho atakuja na hichi..
 
Sijamkatalia...elewa my point,anaweza akayafanya hayo na mwanaume/mwanamke akatulia ama anaweza akayafanya na bado asitulie ndani...kuna wanaume hadi wanaimbiwa nyimbo wakati wa kula...mwanamke katulia pembeni anampepea mumewe huku anaimba lakini mwanaume wapiii.....
Huyo atakuwa ana jini mahaba ndo maana atulii
 
Wewe Fanya hayo yote sasa halafu usitafute pesa kwa ajili ya matumizi na maendeleo ya familia, utaisoma namba!
Bila Pesa Maisha hayawezi kwenda kitu cha muhim ni watu kuridhika hasa mke anatakiwa aridhike na kipato cha Mumewe hapa akina dada wengi wamefeli kwa kutaka waishi juu ya uwezo wao !!!
 
Ili maisha ya ndoa yaende na ndoa idumu sometyms inabidi ujifanye fala tu kupunguza msongamano..Maana kumwelewa na kumridhisha mwanamke kwa kila atakacho ni mtihani mgumu sana..Ukimfanyia hiki kesho atakuja na kile..ukifanya kile kesho atakuja na hichi..
Hao ndio wanawake pasua kichwa mbaya unaweza ukaa uvaa mkenge ili umridhishe yeye
 
Pia unaweza kuning'inia hadi ukashika dali lakini jamaa akawa bize kutembeza lumbesa lake.
 
Anacheza na wanaume wa kitanzania huyu hata umbebe kila aendapo kuchepuka ni hurka yao tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom