Heart
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 2,673
- 1,712
Sijamkatalia...elewa my point,anaweza akayafanya hayo na mwanaume/mwanamke akatulia ama anaweza akayafanya na bado asitulie ndani...kuna wanaume hadi wanaimbiwa nyimbo wakati wa kula...mwanamke katulia pembeni anampepea mumewe huku anaimba lakini mwanaume wapiii.....Wew ndo unasena hayana formula lakin wanaowafanyia Haya waume zao wao ndo wanajua ukweli was mambo