Grand Canyon
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 547
- 1,193
Ndoa inajengwa kwenye msingi wa ukweli, uwazi na kuaminiana.
Ni jambo jema mke/mume kujua kazi yako, unapofanyia kazi na hata kipato chako, lakini kuna mambo ukiyaweka wazi tatizo litatokea.
Mfano wapenzi hupenda kuuliza maswali kama vile: uliwahi kudate wanawake wangapi? Kama idadi ni kubwa na ukataja atataka ajue ni akina nani? Ikitokea amewajua hilo linakuwa tatizo. Utaulizwa kwa nini ulimwacha yule ukanioa mimi? Mbona ni mrembo kuliko mimi?
Kwa hiyo ikiwa hajui historia yako ya kimapenzi: Tafadhali usimweleze. Ukilazimika kumweleza hakikisha huyo mtu hamjui na anaishi mkoa au nchi ya mbali.
Ni jambo jema mke/mume kujua kazi yako, unapofanyia kazi na hata kipato chako, lakini kuna mambo ukiyaweka wazi tatizo litatokea.
Mfano wapenzi hupenda kuuliza maswali kama vile: uliwahi kudate wanawake wangapi? Kama idadi ni kubwa na ukataja atataka ajue ni akina nani? Ikitokea amewajua hilo linakuwa tatizo. Utaulizwa kwa nini ulimwacha yule ukanioa mimi? Mbona ni mrembo kuliko mimi?
Kwa hiyo ikiwa hajui historia yako ya kimapenzi: Tafadhali usimweleze. Ukilazimika kumweleza hakikisha huyo mtu hamjui na anaishi mkoa au nchi ya mbali.
