RealTz77 JF-Expert Member May 18, 2009 738 40 Oct 21, 2009 #1 nimeioona hii hapa kwa jirani michuzi, nimecheka sana,huyu bibi(wife) anatisha ni hafai,dah hadi raha mambo mengine!!
nimeioona hii hapa kwa jirani michuzi, nimecheka sana,huyu bibi(wife) anatisha ni hafai,dah hadi raha mambo mengine!!
U uporoto01 JF-Expert Member May 23, 2008 4,700 1,415 Oct 21, 2009 #2 Hahaha! dada kaamua kutumia media kuchunga mzigo wake,very creative indeed.