ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,532
- 44,647
1. Ukiwa mfupi halafu mweusi halafu una kitambi.kwa utafiti niliofanya nimegundua mademu hawawazimikii wanaume wafupi.yaani hisia zinakuwa ziko mbali
2. Ukiwa na watoto kuanzia wawili.kama ulimdanganya huna watoto basi akijua tu mapenzi yanapungua
3. Ukiwa huna hela afu unalilia uonewe huruma.mwanamke akijua huna maisha huwezi kumsaidia pesa wala kazi anakuchenga anakukataa hata ukijionyesha unampenda kwa dhati ni kazi bure
2. Ukiwa na watoto kuanzia wawili.kama ulimdanganya huna watoto basi akijua tu mapenzi yanapungua
3. Ukiwa huna hela afu unalilia uonewe huruma.mwanamke akijua huna maisha huwezi kumsaidia pesa wala kazi anakuchenga anakukataa hata ukijionyesha unampenda kwa dhati ni kazi bure