Mambo matatu ya kurekebisha ndani ya CHADEMA

Mambo matatu ya kurekebisha ndani ya CHADEMA

Sawa lakini ulipoleta hapa ndio mahali pake?.

Halafu mbona hujaitolea ufafanuzi hoja yako namba 2 kuwa itakuwaje pale kwa mwanachama ambapo itathibitika pasipo na shaka kuwa alikuwa ana kihujum chama akishindwa mahakamani na yeye aruhusiwe kuendelea na uwanachama wake wakati ana kiuwa chama?.

Hoja yangu ni kuwa,mtu akiataka kufukuzwa katika chama na akaenda mahakami asizuiwe na kama mahakama itaona alikuwa sahihi kufukuzwa basi chama kimfukuze ila mahakama ikiona haikuwa sahihi kumfukuza basi uamuzi huo uheshimiwe pia.

Mtu kwenda mahakamani tu isiwe sababu ya kumfukuza uanachama kwani mtu anaweza kwenda kutafuta haki kwa mambo mengi mfano kudai malipo yake n.k.

Mtu aliekipeleka chama mahakamini aachwe apime mwenyewe kama ni sahihi kuwa mwanachama wa chama husika au laa.

Hata hivyo,uamuzi wa kukipeleka chama mahakami uwe ni wa mwisho baada ya jambo hilo kushindwa kusuluhishwa nje ya mahakama.

Niwambie tu,maadamu chama kina wabunge na ubunge wao unadhaniniwa na chama kwa maana ya mtu hawezi kuwa mbunge akivuliwa uanachama,hizi kesi za wabunge kukimbilia mahakamani wanapotaka kuvuliwa uanachama wao kamwe haziwezi kwisha.Leo hii ni Zitto lakini kesho atakuwa mwingine.

Mwanachama wa kawaida(asie mbunge au kingozi ndani ya chama) ni rahisi zaidi kuheshimu utaratibu wa kutokukipeleka chama mahakamani kwani hata akifukuzwa uanachama anakuwa hana cha kupoteza tofauti na mbunge au kiongozi wa chama.

Kipimo halisi cha uaminifu wa mtu katika chama chake ni wakati wa matatizo.

Zitto leo kaanza lakini ni swala la muda tu kabla wengine hawajarudia kutenda haya tunayoyaona leo kama madudu ya zitto.
 
Hoja yangu ni kuwa,mtu akiataka kufukuzwa katika chama na akaenda mahakami asizuiwe na kama mahakama itaona alikuwa sahihi kufukuzwa basi chama kimfukuze ila mahakama ikiona haikuwa sahihi kumfukuza basi uamuzi huo uheshimiwe pia.

Hata hivyo,uamuzi wa kukipeleka chama mahakami uwe ni wa mwisho baada ya jambo hilo kushindwa kusuluhishwa nje ya mahakama.

Niwambie tu,maadamu chama kina wabunge na ubunge wao unadhaniniwa na chama kwa maana ya mtu hawezi kuwa mbunge akivuliwa uanachama,hizi kesi za wabunge kukimbilia mahakamani wanapotaka kuvuliwa uanachama wao kamwe haziwezi kwisha.Leo hii ni Zitto lakini kesho atakuwa mwingine.

Mwanachama wa kawaida(asie mbunge au kingozi ndani ya chama) ni rahisi zaidi kuheshimu utaratibu wa kutokishitaki chama kwani hata akufukuzwa hana cha kupoteza tofauti na mbunge au kiongozi wa chama.

Kipimo halisi cha uaminifu wa mtu ni wakati wa matatizo.

Zitto leo kaanza lakini ni swala la muda tu kabla wengine hawajarudia kutenda haya tunayoyaona leo kama madudu ya zitto.
Zana za kilimo hakuanza usaliti leo, nitakua wamwisho kuondoka chadema tafakari katikati ya mistari
 
Salary slip unajua ndani ya katiba pendekezwa kuna haki huwezi pata mahakamani???

Hili la ukomo wa madaraka siliungi mkono wakati huu wa kukijenga chama.

Leo zzk angelikuwa mwkt wa cdm ungelia cdm isingekuwepo, na ka kama ingekuwepo ingekuwa kama ilivyo kigoma kask hakuna diwani wa mwkt wa mtaa.

Propaganda za ukabila udini ukanda na ugaidi zilikuwepo kwenye katiba??
Acha kuogopa propaganda
 
Hapa unahitaji uelewa tu-
Unaposema ukiondoa kwenda mahakamani na kuweka ukomo wa madaraka.

Je nikuulize hizo propaganda zote zilikuwa kwenye ktb???
 
CHADEMA bado tupo kwenye kipindi cha mpito bado tunajenga chama
Mwenyekiti aliopo kaonyesha mafanikio makubwa sana kwenye uongozi wake na haina budi kuendelea kutuongoza kwenye mafanikio makubwa
Ikifika kipindi cha kupewa chama mtu mwingine atapewa ila tutaakikisha anapewa mtu salama ili chama kiwe kwenye mikono salama
 
Kwa hapa Tanzania makabila yenye uwezo wa kuendesha vyama vya upinzani na kupata mafanikio ni haya Chagga,Meru,Iraq/Mbulu,Kyusa,Kurya basi.Wengine wote maneno tu.Chadema bado inajengwa sasa unataka wasaliti waje kuongoza Chadema?

Baba hapo umechukulia maeneo ambayo Chadema ina wabunge tuu umeshindwa kuona kua kuna watu walipiga harakati kabla ya hayo makabila mf. WapembA na Wazanzibar tangu 1987 walipoanza kudai vyama vingi au uwezo wa kabila kuendesha chama unapimwa kwa kua CDM?
 
Na amini kwamba ipo siku viongozi wa chadema watajiuliza ni wapi tulipo tofautiana. Sasa nadhani baada ya zzk kuondoka rasmi wengi wataanza kutafakali na kupata majawabu mtamfuata wengi subirini aingingie kitaa ni very talented mlitaka arudi kuvua Mikebuka kibilizi!
 
Propaganda zipo tu hata ukisema vipi? Watakuja na za aina nyingine kwani hujui wanachua cha propaganda. Na ile ya kusema chadema ni chama cha wakristo nao unashauri tufanyaje? Yani muache kuchagua viongozi kwa sifa zao muanze kuangalia ni kabila gani?
 
Na amini kwamba ipo siku viongozi wa chadema watajiuliza ni wapi tulipo tofautiana. Sasa nadhani baada ya zzk kuondoka rasmi wengi wataanza kutafakali na kupata majawabu mtamfuata wengi subirini aingingie kitaa ni very talented mlitaka arudi kuvua Mikebuka kibilizi!
Hatuta muonea aibu wala huruma msaliti yoyote ndani ya Chama

Chadema Kwanza
 
Sijazoea kushikishaga watu ukuta sasa nenda kwa wale wale uliowazoea
mashoga utayajua tu kwa matendo yako. ninauhakika wewe ungekuwa kule bara europa au amerika ungeshajitangaza siku nyingi sana. usithubutu hapa bongo maana watu hawachelewi kukutolea fatuwa.
 
Wale makamanda ambao akili zimehamia kwenye vigimbi hawawezi kukubali huu ushauri.

Kumbe wakati mwingine huwa unatumia akili zako?
 
Baba hapo umechukulia maeneo ambayo Chadema ina wabunge tuu umeshindwa kuona kua kuna watu walipiga harakati kabla ya hayo makabila mf. WapembA na Wazanzibar tangu 1987 walipoanza kudai vyama vingi au uwezo wa kabila kuendesha chama unapimwa kwa kua CDM?

unaweza kunitajia chama chochote cha siasa chenye hats mwenyekiti was mtaa kilichoanzishwa znz ?

note:
CUF kilianzishwa na James Mapalala na seif alipora chama kwenye uchaguzi kama alivyokuwa anajiandaa Zitto kuchukua chadema kupitia mkakati was mabadiliko. kilichosaidia no usitishaji was uchaguzi Mwaka juzi aliotangaza Dr. mpaka chama kilipokuwa sawa Mwaka Jana ndio ukafanyika.
 
mashoga utayajua tu kwa matendo yako. ninauhakika wewe ungekuwa kule bara europa au amerika ungeshajitangaza siku nyingi sana. usithubutu hapa bongo maana watu hawachelewi kukutolea fatuwa.

Nenda kastereheshe fisi wewe maana ni mtoto si rizki
 
Wale makamanda ambao akili zimehamia kwenye vigimbi hawawezi kukubali huu ushauri.

Kumbe wakati mwingine huwa unatumia akili zako?
Kukubali kitu kilichoko nje ya katiba ni ukiukaji wa katiba

Chadema Kwanza
 
Umejiuliza ni watanzania wangapi wenye uelewa kama wako?

Ni wangapi wenye uwezo wa kuchambua pumba na mchele?

Mtu asie na uwezo wa ku-reason akitajiwa alianza Mtei akafuaya Bob Makani na sasa Mbowe wote wakiwa ni wachaga ni rahisi sana kuamini hizo propaganda.

Tusiotoe mwanya wa watu kutengeneza propaganda.

Umejiuliza lakini ni kwanini Mtei alimwachia uenyekiti wa CDM Bob Makani ambaye ameoa dada yake na Mtei?

Vilevile umejiuliza ni kwanini Bob Makani alipoachia uenyekiti wa CDM alimuachia Mbowe ambaye ameoa binti yake na Mtei?

CDM smells like a family Company!!!
 
Umejiuliza lakini ni kwanini Mtei alimwachia uenyekiti wa CDM Bob Makani ambaye ameoa dada yake na Mtei?

Vilevile umejiuliza ni kwanini Bob Makani alipoachia uenyekiti wa CDM alimuachia Mbowe ambaye ameoa binti yake na Mtei?

CDM smells like a family Company!!![/QUOTE
Mkuu umeongea ukweli kabisa,chadema ni chama cha ukoo.
 
Don't allow others to set the agenda for you. We must continue to put them on the defense. We must not take instructions from them. Yaani unashauri tumwachishe Mbowe kugombea tena uenyekiti kwa sababu tu za kikabila?

It is not possible to be a little bit pregnant. Aidha CDM ina principles always au haina at all.


NO NO NO NO.

Kukubali kukosea sio weakness.

Mbowe kuondoa kipengele cha ukomo wa madaraka was a MASSIVE oversight in poor judgement. Pride ya kujifanya muda wote uko sahihi ni kosa lililoangusha majabali wengi sana duniani katika historia. Kama mbowe ni msomaji mzuri wa historia atakuwa analijua hilo.

Watanzania wanasubiri leadership kutoka CHADEMA, and so far ZITTO has the upper hand, kwani inaonekana amekubali kushindwa na kuachia ubunge bila kukata rufaa,the only way to neutralize this powerful card zitto has is for Mbowe to clarify that he will not seek for further chairmanship.
Akiendelea kung'ang'ania anapigia mstari madai ya Zitto na wenzie kuwa CDM Mbowe hatoi demokrasia kwa wengine.

Ukileta hadithi za Pricniple hata madikteta duniani waliua watu kwa kufuata principles. It's about right and wrong and these types of principles are just wrong. Keep hanging to them and CDM will be destroyed. Since you have people from inside CDM who are actively telling wrong things about CDM. It's not an easy position to be in and CDM are not used to it. CDM is used to attacking,not defence. for the past decade, they have always attacked what CCM does wrong, but have never been used to being told what they do wrong. This has made them complacent to their own blunders, and this is exactly what ACT will grow on, fixing CDM mistakes and providing meaningful opposition to CCM. you may not trust me, but this is a very powerful proposition.

Time will tell.
 
NO NO NO NO.

Kukubali kukosea sio weakness.

Mbowe kuondoa kipengele cha ukomo wa madaraka was a MASSIVE oversight in poor judgement. Pride ya kujifanya muda wote uko sahihi ni kosa lililoangusha majabali wengi sana duniani katika historia. Kama mbowe ni msomaji mzuri wa historia atakuwa analijua hilo.

Watanzania wanasubiri leadership kutoka CHADEMA, and so far ZITTO has the upper hand, kwani inaonekana amekubali kushindwa na kuachia ubunge bila kukata rufaa,the only way to neutralize this powerful card zitto has is for Mbowe to clarify that he will not seek for further chairmanship.
Akiendelea kung'ang'ania anapigia mstari madai ya Zitto na wenzie kuwa CDM Mbowe hatoi demokrasia kwa wengine.

Ukileta hadithi za Pricniple hata madikteta duniani waliua watu kwa kufuata principles. It's about right and wrong and these types of principles are just wrong. Keep hanging to them and CDM will be destroyed. Since you have people from inside CDM who are actively telling wrong things about CDM. It's not an easy position to be in and CDM are not used to it. CDM is used to attacking,not defence. for the past decade, they have always attacked what CCM does wrong, but have never been used to being told what they do wrong. This has made them complacent to their own blunders, and this is exactly what ACT will grow on, fixing CDM mistakes and providing meaningful opposition to CCM. you may not trust me, but this is a very powerful proposition.

Time will tell.
Unaweza kuthibitisha kwamba mbowe alingofoa kipengele cha ukomo wa madaraka? Na isiwe habari za kusikia? na unajua hii katiba ya chadema ilipitiwa lin upya ?
 
Back
Top Bottom