Mambo manne yanayomfanya mwanamke asipate mchumba hatimae kuwa wanandoa

ESPIRIT

JF-Expert Member
Jul 3, 2014
665
522
Hivi ni baadhi ya vitu vinavyomkera MWANAUME anapokuwa na mahusiano na MWANAMKE.
1.Kulialia njaa kila wa kati. Hapa ni pale mwanamke anapotafuta kila namna ili kumu exploit,mwanaume.
2. Kutowasiliana na mwanaume kama hajakutumia vocha.
3. Kuwa mchafu. Wanawake kadhaa hutoa harufu kali, hasa kichwani.,kwa wale wa nywele za bandia.Hii humfanya mwanaume kutokuwa na hisia
4. Kuwa mrahisi mno kutoa chini, yaani papuchi au sex. Mwanamke unapokuwa mrahisi mno ,mwanaume huwa na hisia kwamba unagawa kwa wengi. Na mwanaume anapowaza hivyo,hatakuwa na mda na wew,bali atatafuta namna ya kumtafuta mwingine. UNAWEZA KUONGEZEA MENGINE UNAYOJUA MWANA JF
 
Hivi ni baadhi ya vitu vinavyomkera MWANAUME anapokuwa na mahusiano na MWANAMKE.
1.Kulialia njaa kila wa kati. Hapa ni pale mwanamke anapotafuta kila namna ili kumu exploit,mwanaume.
2. Kutowasiliana na mwanaume kama hajakutumia vocha.
3. Kuwa mchafu. Wanawake kadhaa hutoa harufu kali, hasa kichwani.,kwa wale wa nywele za bandia.Hii humfanya mwanaume kutokuwa na hisia
4. Kuwa mrahisi mno kutoa chini, yaani papuchi au sex. Mwanamke unapokuwa mrahisi mno ,mwanaume huwa na hisia kwamba unagawa kwa wengi. Na mwanaume anapowaza hivyo,hatakuwa na mda na wew,bali atatafuta namna ya kumtafuta mwingine. UNAWEZA KUONGEZEA MENGINE UNAYOJUA MWANA JF

TOO LOW!!
You should leave out items which are too well-known.
 
Mie mtu ambaye mgumu kunipa papuchi huyo ndio siwezi kumuoa habari ya kuwaza negetive sinaga ananipa kwa sababu ananijali fullstop.
 
Hiyo No.4 naunga mkono...!!! Na huyo alieargue hapo atakua ni mdada na kwa namna hiyo anapenda sana kusuguliwa papuchi na boy wake ndio maana anacrush kipust.
 
Hivi ni baadhi ya vitu vinavyomkera MWANAUME anapokuwa na mahusiano na MWANAMKE.
1.Kulialia njaa kila wa kati. Hapa ni pale mwanamke anapotafuta kila namna ili kumu exploit,mwanaume.
2. Kutowasiliana na mwanaume kama hajakutumia vocha.
3. Kuwa mchafu. Wanawake kadhaa hutoa harufu kali, hasa kichwani.,kwa wale wa nywele za bandia.Hii humfanya mwanaume kutokuwa na hisia
4. Kuwa mrahisi mno kutoa chini, yaani papuchi au sex. Mwanamke unapokuwa mrahisi mno ,mwanaume huwa na hisia kwamba unagawa kwa wengi. Na mwanaume anapowaza hivyo,hatakuwa na mda na wew,bali atatafuta namna ya kumtafuta mwingine. UNAWEZA KUONGEZEA MENGINE UNAYOJUA MWANA JF

Umeongea ukweli mtupu, pia wengi huongea mambo ya uongo. Yaani yeye anajua anakwambia kweli ila ukiunganisha matukio, hayaungi kabisaaaa kwa akili ya kawaida tu. UONGO, sipendi sana. Bado nashindwana na hili kwa kina dada wengi.
 
Back
Top Bottom