Umenena vyema mkuu,,,hakika ukiyajuwa hayo UTAPAMBANA VILIVYO kuhakikisha UNAPATA MWISHO MZURI...KWANZA :
Ukijua iko siku utakuwa Mzee.
PILI:
Ukijua iko siku, Hakika Utakufa.
Mungu atusaidie kuzijua na kuzishi vyema siku zetu hapa duniani.
TATU: KUOA.KWANZA :
Ukijua iko siku utakuwa Mzee.
PILI:
Ukijua iko siku, Hakika Utakufa.
Mungu atusaidie kuzijua na kuzishi vyema siku zetu hapa duniani.
Jumapili ya vitisho!