Ofisi za kisasa za Chadema zipo mioyoni mwa watu na ndio maana popote walipo watu na Chadema wapo, na hilo limewatisha Sana Chama Cha Maviroboto wakifikiri Mbowe afungwe na Lissu auawe huenda watapata nafuu.Ccm Wana Ofisi Ya Kisasa Lakini Kwenye Chaguzi Wanaishia Kuiba Kula
[emoji23][emoji23][emoji23] Dah nacheka km mazuri, ila tuna shida sana WatanganyikaSidhani kama ustawi wa chama ni ofisi ya kisasa...
Chama ni imani. Na imani ni zao la kujitambua!
Tatizo nchini Tanzania (hasa Tanganyika) ni kuwa ujinga umekithiri sana... watu wapo radhi waipe ccm kura zote alafu baadae wakalalamike kwa MUNGU.
🖕🖕🖕Muunge na kalio.
Kwani Mnyika sio kijanaVijana wa CHADEMA ni kama makarai hutumika na kutupwa kazi ikikamilika. Alisema hivyo aliyekuwa Kiongozi wao
Ofisi za kisasa za Chadema zipo mioyoni mwa watu na ndio maana popote walipo watu na Chadema wapo, na hilo limewatisha Sana Chama Cha Maviroboto wakifikiri Mbowe afungwe na Lissu auawe huenda watapata nafuu.
Lakini mnajisumbua bureeee yaani ndio Kwanzaa Imani inaongezeka kwa Chadema na kuliko awali. Chadema kwa Sasa kwa watu wenye Akili timamu ndio dira ya nchi na tegemeo la nchi.
Wewe ni sawa na kuku wa kisasa hawezi kutembea juani chadema unayoijua wewe ni hii ya watoto watoto sisi tunaijua chadema ya Babu zako Rudi darasani ukajifunze maana ya siasaKama wewe siyo mwanachama wa chama chochote, mambo ya vyama yanakuhusu nini? Hii ni tabia ya unafiki kwa sababu suala la Chadema ni la wanachama wao na namna wanavyofanya shughuli zao.
Wewe kinachokukera na kukusumbua kama Chadema haipati mafanikio kama unavyotaka ni nini?
Jitahidi kufanya mambo yanayokuhusu katika maisha yako.
Ofisi za kisasa za Chadema zipo mioyoni mwa watu na ndio maana popote walipo watu na Chadema wapo, na hilo limewatisha Sana Chama Cha Maviroboto wakifikiri Mbowe afungwe na Lissu auawe huenda watapata nafuu.
Lakini mnajisumbua bureeee yaani ndio Kwanzaa Imani inaongezeka kwa Chadema na kuliko awali. Chadema kwa Sasa kwa watu wenye Akili timamu ndio dira ya nchi na tegemeo la nchi.
Huwezi kuacha kuwajengea nyumba watoto pesa zote unakunywa mbege watu wakikusema unadai watoto mm wananipenda sijui wameniweka moyoni Hilo halipoOfisi za kisasa za Chadema zipo mioyoni mwa watu na ndio maana popote walipo watu na Chadema wapo, na hilo limewatisha Sana Chama Cha Maviroboto wakifikiri Mbowe afungwe na Lissu auawe huenda watapata nafuu.
Lakini mnajisumbua bureeee yaani ndio Kwanzaa Imani inaongezeka kwa Chadema na kuliko awali. Chadema kwa Sasa kwa watu wenye Akili timamu ndio dira ya nchi na tegemeo la nchi.
Ili kuwapima Chadema Kama wamekwisha, sanduku la kura liachwe liongee lenyewe, Wakurugenzi wasikimbie fomu zao Wala TISS na Polisi wasiingilie.CHADEMA ninayoijua Mimi sio hii iliyopo Sasa,naweza kusema bila ya Shaka yoyote kuwa chadema ya Sasa ni waoga Sana,Chadema ingekuwa inajipanga kimkakati Leo ccm ingekuwa haipo madarakani,,nakupa Mambo kumi yanayoiua chadema Kila mwaka,.
(1) Hawaandai vijana watakaokuwa nguzo ya chama baadae hata wakiwaandaa ukifika uchaguzi wanawatupa na kuwaokota mamluki wa CCM
(2) Hawaandai Sera ya chama madhubuti Ila Kila mtu ni msemaji, kumtukana Kila mtu anaejaribu kutoa maoni tofauti na chama Chao, bila kujua mpiga kura huwa anabadilika kulingana na Sera za wakati uliopo, siasa Haina adui wa kudumu Wala rafiki wa kudumu
(3) Ni ile tabia ya akija mgeni kutoka chama tawala wako tayari kuharibu systeam yote na hata kukosana na wazawa kwa ajili ya mabwanyenye wa CCM wenye uroho wa madaraka wakikosa huku wanataka waje huku.
(4) Wameshindwa kuwahandle wafadhili wa chama na kusimamia Mali za Chama kiasi Cha kukosa hata ofisi nzuri yenye hadhi ya chama
(5) Magari ya chama baada ya uchaguzi yanabaki niyamatumizi ya kawaida badala ya kwenda mikoani kujenga chama,igeni mfano wa chama kigeni nchini uganda nup chini ya Bobi Wine hakina hata miaka mitano kinaofisi ya kisasa Sana.
Kwa leo niishie hapa nb mimi sio mwanachama wa chama chochote hapa nchini
Kwani wew uliyejenga hizo ofisi zinakusaidia nini zaidi ya kuwatumia akina Kingai na Mahita kuteka kuua na kupoteza watu? Au hizo ofisi zilikusaidia usiengue wapinzani ktk uchaguzi wa Serikali za mitaa na wa Serikali kuu mwaka 2020? Au hizo ofisi zimekusaidieni kuendelea na mchakato wa KATIBA mpya ya jaji Warioba? Mtajua hamjui bandugu. Ofisi sio majengo ninyi vibwetele viroboto, ofisi ni watu.Huwezi kuacha kuwajengea nyumba watoto pesa zote unakunywa mbege watu wakikusema unadai watoto mm wananipenda sijui wameniweka moyoni Hilo halipo
Kunguni mwenzake na polepoleCHADEMA ninayoijua Mimi sio hii iliyopo Sasa,naweza kusema bila ya Shaka yoyote kuwa chadema ya Sasa ni waoga Sana,Chadema ingekuwa inajipanga kimkakati Leo ccm ingekuwa haipo madarakani,,nakupa Mambo kumi yanayoiua chadema Kila mwaka,.
(1) Hawaandai vijana watakaokuwa nguzo ya chama baadae hata wakiwaandaa ukifika uchaguzi wanawatupa na kuwaokota mamluki wa CCM
(2) Hawaandai Sera ya chama madhubuti Ila Kila mtu ni msemaji, kumtukana Kila mtu anaejaribu kutoa maoni tofauti na chama Chao, bila kujua mpiga kura huwa anabadilika kulingana na Sera za wakati uliopo, siasa Haina adui wa kudumu Wala rafiki wa kudumu
(3) Ni ile tabia ya akija mgeni kutoka chama tawala wako tayari kuharibu systeam yote na hata kukosana na wazawa kwa ajili ya mabwanyenye wa CCM wenye uroho wa madaraka wakikosa huku wanataka waje huku.
(4) Wameshindwa kuwahandle wafadhili wa chama na kusimamia Mali za Chama kiasi Cha kukosa hata ofisi nzuri yenye hadhi ya chama
(5) Magari ya chama baada ya uchaguzi yanabaki niyamatumizi ya kawaida badala ya kwenda mikoani kujenga chama,igeni mfano wa chama kigeni nchini uganda nup chini ya Bobi Wine hakina hata miaka mitano kinaofisi ya kisasa Sana.
Kwa leo niishie hapa nb mimi sio mwanachama wa chama chochote hapa nchini
Nyinyi vijana wa CCM kwa sababu mnapendelewa na Vyombo vya serikali basi ni kujiropesha tuu. Vijana wa CHADEMA wanapitia mitihani mingi sana na bado wapo imara.Umenena vyema ila nyumbu gang hawatakuelewa
CCM wako wapi?!!...CHADEMA ninayoijua Mimi sio hii iliyopo Sasa,naweza kusema bila ya Shaka yoyote kuwa chadema ya Sasa ni waoga Sana,Chadema ingekuwa inajipanga kimkakati Leo ccm ingekuwa haipo madarakani,,nakupa Mambo kumi yanayoiua chadema Kila mwaka,.
(1) Hawaandai vijana watakaokuwa nguzo ya chama baadae hata wakiwaandaa ukifika uchaguzi wanawatupa na kuwaokota mamluki wa CCM
(2) Hawaandai Sera ya chama madhubuti Ila Kila mtu ni msemaji, kumtukana Kila mtu anaejaribu kutoa maoni tofauti na chama Chao, bila kujua mpiga kura huwa anabadilika kulingana na Sera za wakati uliopo, siasa Haina adui wa kudumu Wala rafiki wa kudumu
(3) Ni ile tabia ya akija mgeni kutoka chama tawala wako tayari kuharibu systeam yote na hata kukosana na wazawa kwa ajili ya mabwanyenye wa CCM wenye uroho wa madaraka wakikosa huku wanataka waje huku.
(4) Wameshindwa kuwahandle wafadhili wa chama na kusimamia Mali za Chama kiasi Cha kukosa hata ofisi nzuri yenye hadhi ya chama
(5) Magari ya chama baada ya uchaguzi yanabaki niyamatumizi ya kawaida badala ya kwenda mikoani kujenga chama,igeni mfano wa chama kigeni nchini uganda nup chini ya Bobi Wine hakina hata miaka mitano kinaofisi ya kisasa Sana.
Kwa leo niishie hapa nb mimi sio mwanachama wa chama chochote hapa nchini