Mambo kumi yanayoimaliza CHADEMA

Mambo kumi yanayoimaliza CHADEMA

Kama wewe siyo mwanachama wa chama chochote, mambo ya vyama yanakuhusu nini? Hii ni tabia ya unafiki kwa sababu suala la Chadema ni la wanachama wao na namna wanavyofanya shughuli zao.
Wewe kinachokukera na kukusumbua kama Chadema haipati mafanikio kama unavyotaka ni nini?
Jitahidi kufanya mambo yanayokuhusu katika maisha yako.
 
Ccm Wana Ofisi Ya Kisasa Lakini Kwenye Chaguzi Wanaishia Kuiba Kula
Ofisi za kisasa za Chadema zipo mioyoni mwa watu na ndio maana popote walipo watu na Chadema wapo, na hilo limewatisha Sana Chama Cha Maviroboto wakifikiri Mbowe afungwe na Lissu auawe huenda watapata nafuu.
Lakini mnajisumbua bureeee yaani ndio Kwanzaa Imani inaongezeka kwa Chadema na kuliko awali. Chadema kwa Sasa kwa watu wenye Akili timamu ndio dira ya nchi na tegemeo la nchi.
 
Sidhani kama ustawi wa chama ni ofisi ya kisasa...
Chama ni imani. Na imani ni zao la kujitambua!
Tatizo nchini Tanzania (hasa Tanganyika) ni kuwa ujinga umekithiri sana... watu wapo radhi waipe ccm kura zote alafu baadae wakalalamike kwa MUNGU.
Dah nacheka km mazuri, ila tuna shida sana Watanganyika
 
🖕🖕🖕
1636785826544.jpg

Wahuni mpo kazini
 
Ofisi za kisasa za Chadema zipo mioyoni mwa watu na ndio maana popote walipo watu na Chadema wapo, na hilo limewatisha Sana Chama Cha Maviroboto wakifikiri Mbowe afungwe na Lissu auawe huenda watapata nafuu.
Lakini mnajisumbua bureeee yaani ndio Kwanzaa Imani inaongezeka kwa Chadema na kuliko awali. Chadema kwa Sasa kwa watu wenye Akili timamu ndio dira ya nchi na tegemeo la nchi.

Ni Vyema Tuwakumbushe Kuwa Chadema Sio Chama; Chadema Ni Harakati Za Kuondoa Utawala Dhalimu Wa Ccm
 
Kama wewe siyo mwanachama wa chama chochote, mambo ya vyama yanakuhusu nini? Hii ni tabia ya unafiki kwa sababu suala la Chadema ni la wanachama wao na namna wanavyofanya shughuli zao.
Wewe kinachokukera na kukusumbua kama Chadema haipati mafanikio kama unavyotaka ni nini?
Jitahidi kufanya mambo yanayokuhusu katika maisha yako.
Wewe ni sawa na kuku wa kisasa hawezi kutembea juani chadema unayoijua wewe ni hii ya watoto watoto sisi tunaijua chadema ya Babu zako Rudi darasani ukajifunze maana ya siasa
 
Ofisi za kisasa za Chadema zipo mioyoni mwa watu na ndio maana popote walipo watu na Chadema wapo, na hilo limewatisha Sana Chama Cha Maviroboto wakifikiri Mbowe afungwe na Lissu auawe huenda watapata nafuu.
Lakini mnajisumbua bureeee yaani ndio Kwanzaa Imani inaongezeka kwa Chadema na kuliko awali. Chadema kwa Sasa kwa watu wenye Akili timamu ndio dira ya nchi na tegemeo la nchi.

Ofisi za kisasa za Chadema zipo mioyoni mwa watu na ndio maana popote walipo watu na Chadema wapo, na hilo limewatisha Sana Chama Cha Maviroboto wakifikiri Mbowe afungwe na Lissu auawe huenda watapata nafuu.
Lakini mnajisumbua bureeee yaani ndio Kwanzaa Imani inaongezeka kwa Chadema na kuliko awali. Chadema kwa Sasa kwa watu wenye Akili timamu ndio dira ya nchi na tegemeo la nchi.
Huwezi kuacha kuwajengea nyumba watoto pesa zote unakunywa mbege watu wakikusema unadai watoto mm wananipenda sijui wameniweka moyoni Hilo halipo
 
Bwashee, hili bandiko lako lispoondolewa basi jiandae kupigwa ban. Hili ni jukwaa la wanachadema, (mkurugenzi ni kada wa chadema kindakindaki), hawataki kusikia chochote kinyume na mawazo yao
Stay tuned!
 
Chadema pia ndio chama chenye watu wenye akili kuliko watanzania wote ambao hawako humo..
Chadema ndio chama chenye watu wanaojua kila kituna watanzania wote lazima wawasikilize wao.
Chadema ndio chama ambacho dola lazima ikisikilize kinataka nini maana wao ndio wamiliki wa nchi na dola yenyewe..
Chadema ndio chama kinachopendwa na watanzania wote zaidi ya 60mil..
Chadema ndio chama chenye wanachama weengi hapa Tanzania..
Bila chadema hii nchi isingepata uhuru.
Bila chadema hii nchi haiwezi kuendelea..
Wanachama wa chadema ndio wenye akili kuliko mtu yeyote hapa Tannzania..
Ukiwa Rais lazima uwasikilize chadema maana wao ndio wenye akili na mamlaka ya hii nchi..
Chadema wao ni malaika, wacha Mungu na siku zote wanaonewa kwasababu wanaogopwa...
 
CHADEMA ninayoijua Mimi sio hii iliyopo Sasa,naweza kusema bila ya Shaka yoyote kuwa chadema ya Sasa ni waoga Sana,Chadema ingekuwa inajipanga kimkakati Leo ccm ingekuwa haipo madarakani,,nakupa Mambo kumi yanayoiua chadema Kila mwaka,.

(1) Hawaandai vijana watakaokuwa nguzo ya chama baadae hata wakiwaandaa ukifika uchaguzi wanawatupa na kuwaokota mamluki wa CCM

(2) Hawaandai Sera ya chama madhubuti Ila Kila mtu ni msemaji, kumtukana Kila mtu anaejaribu kutoa maoni tofauti na chama Chao, bila kujua mpiga kura huwa anabadilika kulingana na Sera za wakati uliopo, siasa Haina adui wa kudumu Wala rafiki wa kudumu

(3) Ni ile tabia ya akija mgeni kutoka chama tawala wako tayari kuharibu systeam yote na hata kukosana na wazawa kwa ajili ya mabwanyenye wa CCM wenye uroho wa madaraka wakikosa huku wanataka waje huku.

(4) Wameshindwa kuwahandle wafadhili wa chama na kusimamia Mali za Chama kiasi Cha kukosa hata ofisi nzuri yenye hadhi ya chama

(5) Magari ya chama baada ya uchaguzi yanabaki niyamatumizi ya kawaida badala ya kwenda mikoani kujenga chama,igeni mfano wa chama kigeni nchini uganda nup chini ya Bobi Wine hakina hata miaka mitano kinaofisi ya kisasa Sana.

Kwa leo niishie hapa nb mimi sio mwanachama wa chama chochote hapa nchini
Ili kuwapima Chadema Kama wamekwisha, sanduku la kura liachwe liongee lenyewe, Wakurugenzi wasikimbie fomu zao Wala TISS na Polisi wasiingilie.
 
Huwezi kuacha kuwajengea nyumba watoto pesa zote unakunywa mbege watu wakikusema unadai watoto mm wananipenda sijui wameniweka moyoni Hilo halipo
Kwani wew uliyejenga hizo ofisi zinakusaidia nini zaidi ya kuwatumia akina Kingai na Mahita kuteka kuua na kupoteza watu? Au hizo ofisi zilikusaidia usiengue wapinzani ktk uchaguzi wa Serikali za mitaa na wa Serikali kuu mwaka 2020? Au hizo ofisi zimekusaidieni kuendelea na mchakato wa KATIBA mpya ya jaji Warioba? Mtajua hamjui bandugu. Ofisi sio majengo ninyi vibwetele viroboto, ofisi ni watu.
 
CHADEMA ninayoijua Mimi sio hii iliyopo Sasa,naweza kusema bila ya Shaka yoyote kuwa chadema ya Sasa ni waoga Sana,Chadema ingekuwa inajipanga kimkakati Leo ccm ingekuwa haipo madarakani,,nakupa Mambo kumi yanayoiua chadema Kila mwaka,.

(1) Hawaandai vijana watakaokuwa nguzo ya chama baadae hata wakiwaandaa ukifika uchaguzi wanawatupa na kuwaokota mamluki wa CCM

(2) Hawaandai Sera ya chama madhubuti Ila Kila mtu ni msemaji, kumtukana Kila mtu anaejaribu kutoa maoni tofauti na chama Chao, bila kujua mpiga kura huwa anabadilika kulingana na Sera za wakati uliopo, siasa Haina adui wa kudumu Wala rafiki wa kudumu

(3) Ni ile tabia ya akija mgeni kutoka chama tawala wako tayari kuharibu systeam yote na hata kukosana na wazawa kwa ajili ya mabwanyenye wa CCM wenye uroho wa madaraka wakikosa huku wanataka waje huku.

(4) Wameshindwa kuwahandle wafadhili wa chama na kusimamia Mali za Chama kiasi Cha kukosa hata ofisi nzuri yenye hadhi ya chama

(5) Magari ya chama baada ya uchaguzi yanabaki niyamatumizi ya kawaida badala ya kwenda mikoani kujenga chama,igeni mfano wa chama kigeni nchini uganda nup chini ya Bobi Wine hakina hata miaka mitano kinaofisi ya kisasa Sana.

Kwa leo niishie hapa nb mimi sio mwanachama wa chama chochote hapa nchini
Kunguni mwenzake na polepole
 
CHADEMA ninayoijua Mimi sio hii iliyopo Sasa,naweza kusema bila ya Shaka yoyote kuwa chadema ya Sasa ni waoga Sana,Chadema ingekuwa inajipanga kimkakati Leo ccm ingekuwa haipo madarakani,,nakupa Mambo kumi yanayoiua chadema Kila mwaka,.

(1) Hawaandai vijana watakaokuwa nguzo ya chama baadae hata wakiwaandaa ukifika uchaguzi wanawatupa na kuwaokota mamluki wa CCM

(2) Hawaandai Sera ya chama madhubuti Ila Kila mtu ni msemaji, kumtukana Kila mtu anaejaribu kutoa maoni tofauti na chama Chao, bila kujua mpiga kura huwa anabadilika kulingana na Sera za wakati uliopo, siasa Haina adui wa kudumu Wala rafiki wa kudumu

(3) Ni ile tabia ya akija mgeni kutoka chama tawala wako tayari kuharibu systeam yote na hata kukosana na wazawa kwa ajili ya mabwanyenye wa CCM wenye uroho wa madaraka wakikosa huku wanataka waje huku.

(4) Wameshindwa kuwahandle wafadhili wa chama na kusimamia Mali za Chama kiasi Cha kukosa hata ofisi nzuri yenye hadhi ya chama

(5) Magari ya chama baada ya uchaguzi yanabaki niyamatumizi ya kawaida badala ya kwenda mikoani kujenga chama,igeni mfano wa chama kigeni nchini uganda nup chini ya Bobi Wine hakina hata miaka mitano kinaofisi ya kisasa Sana.

Kwa leo niishie hapa nb mimi sio mwanachama wa chama chochote hapa nchini
CCM wako wapi?!!...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom