DocJayGroup
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 1,654
- 3,327
Jina langu ni John. Nafurahi kujiunga na JF family au jumuiya ya JamiiForums. Nilizaliwa Dar miaka ya 80's. Primary nilisoma Kilimanjaro na Tanga. Secondary nilisoma shule ilioko mkoa wa Arusha.
Baada ya hapo nilifanikiwa kwenda nje kimasomo na kimaisha. Hobbies zangu ni kusafiri na kuona mambo (travel and adventure), kujifunza mambo mapya, kusoma vitabu, kufanya biashara, na kuwa pamoja na familia na marafiki.
Niulize chochote nitakujibu.
Baada ya hapo nilifanikiwa kwenda nje kimasomo na kimaisha. Hobbies zangu ni kusafiri na kuona mambo (travel and adventure), kujifunza mambo mapya, kusoma vitabu, kufanya biashara, na kuwa pamoja na familia na marafiki.
Niulize chochote nitakujibu.