Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 4,314
- 10,017
Wakati zinaungana Tanganyika na Zanzibar zilikuwa na hadhi sawa. Na baada ya kuungana ndiyo ikazaliwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Je, ni kwanini Shughuli zote za serikali ya JMT zinafanyikia Tanzania bara.
Je, ni kwanini tangu wakati huo wizara zote za JMT makao yake makuu ni Tanzania bara?
Je, ni kwa nini vyombo vyote vya ulinzi na usalama yaani JWTZ, JKT na Polisi makao makuu ni Tanzania bara .?
Je, ni kwanini Tanganyika imejimilikisha jina la Tanzania? Kwamba hata wizara zisizo za muungano zinafanya kazi chini ya serikali JMT?
Je, ni kwanini Shughuli zote za serikali ya JMT zinafanyikia Tanzania bara.
Je, ni kwanini tangu wakati huo wizara zote za JMT makao yake makuu ni Tanzania bara?
Je, ni kwa nini vyombo vyote vya ulinzi na usalama yaani JWTZ, JKT na Polisi makao makuu ni Tanzania bara .?
Je, ni kwanini Tanganyika imejimilikisha jina la Tanzania? Kwamba hata wizara zisizo za muungano zinafanya kazi chini ya serikali JMT?