Kama nikuongea kabisa nipe namba yako ya simu basi ili tuongee bila kusumbua hawa walimwengu hapa hata mimi huwa napendaga kuongea saa zingine ati.Ila please tuongee kuanzia saa 2 asubuh mpaka 11 jion tu.....Na tukubaliana ntasave jina lako kama MjombaDar.Hahahahaaaa unapenda ubuyu eehhh. Basi wacha nitulie niianzishie thread, namie nnavopenda kuongea sasa hahahahaa andaa sikio tuu
Kama nikuongea kabisa nipe namba yako ya simu basi ili tuongee bila kusumbua hawa walimwengu hapa hata mimi huwa napendaga kuongea saa zingine ati.Ila please tuongee kuanzia saa 2 asubuh mpaka 11 jion tu.....Na tukubaliana ntasave jina lako kama MjombaDar.
tized wacha basi kutoa taarifa za siri za intelijensia bana utasababisha tushindwe kupita mtaani aise
pamoja sn mkuu.
Bora binamu umemwambia huyo maana
Binamu ladyfurahia mzima wewe aise
Umepotea sana bana sikuoni humu ndani
ndugu yangu binamu yangu mambo yalinikamata si mchezo
si unajua maisha tunaangaika bila kuangaika unafikri utakula nini