Du! si mchezo mwanangu hapo ukiambiwa utoe benzi funguo anachukua kwa ukaiiini,mzee lyumba hakumwona huyo? usafiri huo hata kazini utakuwa huendi,ajbu mwenyewe huenda anchapa nje tena kwa videmu uchwara tu Ha ha ha ha!
Mwee!haya mambo mengine mtatuharibia ulokole wetu,wapendwa hizo picha za kuchora tu msiingie mkenge halafu siri ya haya mambo Mola ana hekima kuliko wote hampi mtu kila kitu,akiwa na shepu kama hiyo unaweza kuta engine hamna kitu moshi mweusi au bluuu au compression hamna.Wakati mwingine usibabaike na jezi nzuri huwa hamna kitu humo wakiingia uwanjani wanaanguka tu hata danadana kumi hapigi haha!haha!hahaaaa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.