CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,254
- 12,871
huwa nasikia kwamba wanaume hawapendi kufuatiliwa na wapenzi/wake/wachumba zao.mf.kumpigia pigia cm upo wap saiv upo na nani wafanya nini? unarudi sa ngap mbona nasikia saut za wanawake umekaa na nani nipe niongee nae tena anakereka zaidi anapokuwa na washkaji/vijana wenzie unaanza kumpigia pigia na kumtext "oh kwa vile e ni mwanaume ndo mana unafanya yote hayo" ongeza mengine