Mambo bado mazito majadiliano ya makinikia,Barrick yaongeza wajumbe kukabiliana na hoja za upande wa Tanzania

kwa hiyo per diem ndiyo kama ile ya my nephew... 400k per day?

kodi yangu kudadadadeki!
 
UOTE="CHARMILTON, post: 23416387, member: 292576"]Linapokuja swala la kupigania rasilimali zetu huwa nasimama upande wa Rais Magufuli.[/QUOTE]
Je inapokuja suala la Wakosoaji wa Serikali kuwindwa kwa Pistol na SMG Unasimamaga upañde UPI Bosi.!!
 
Vyovyote watakavyo itimisha, kama taifa tutoke na funzo kubwa, tujenge misimamo mipya kama taifa tusichezee rasilimali zetu. Tubadili mitazamo yetu ile ya zamani ya kuunga mkono hoja za serikali ktk ubinafsishaji wa rasilimali zetu.
 
Hata waje mia tisa, washaukwaa kwenye mawasiliano yaliyodukuliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kudukua mawasiliano ukajitapa halafu ukafika kwenye usuluhishi wa kimataifa ukapigwa bonge la faini kwa kudukua mawasiliano kinyume cha sheria.Na mkataba mzima ukaonekana umeuvunja wewe kwa kitu kidogo tu cha kudukua mawasiliano.

Huu mchezo hautaki hasira.
 
Mbona hawafiki hao 23 hapo?
Ujue wanatulia timing tu wao kuongeza watu si kwamba tunawashinda
Sisi tunawalazimisha wakubali kitu ambacho si sawa ndio maana wanaongeza wengine
Upo kwenye hayo mazungumzo?

JPM hadi 2025, hutaki hama nchi. !
 
Watu wanaweza kusema kuwa tumewashinda ndo maana wanaongeza idadi ya wajumbe, lakini mimi naona otherwise... It shows jinsi wenzetu walivyojipanga, kwamba kila sekta au idara itakayogusiwa wanakuwa wamemuweka mtu ambae ni expert kwenye hilo eneo, so inakuwa rahisi wao kuzikabili hoja za aina yoyote zitakazoletwa mezani.

Anyways goodluck kwa wajumbe wetu, hopefully something good will come out of this.
Wasiwasi wangu ni serikali ya Tz kuruhusu hao watu kila kukicha kuongeza watu fulan hii si salama kwetu kwani hawa watu wasije wakatuzidi kwa ujanja wao wa kiuzoefu walionao miaka yote hayo.

Km vipi iwe ni mwisho wa wao kuongeza nguvu ya watu ktk majadiliano hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku ndiyo inatokea Barrick wameshindwa kabisa haya mazungumzo,
Nakuhakikishia yule bwana kuna watu atawatafuta sana, hata kama wamekufa atavunja makaburi azione hata maiti zao tu. Teh teh teh teh teh , kipindi hiki watanzania mepata kiboko yenu kwakweli.
 
Anafikiri ataweza kuwatisha wazungu kama anavyotutisha sisi wazaramo? Chezea kitu ingine lkn sio mzungu ww!
 
Haya mazungumzo hayata mwacha mtu salama, nasikia toka lisu alazwe makaburu wanatimka mchana na usiku

kwa mara ya kwanza uongozi wa migodi umeachwa kwa wazawa.

Jpm ashikirie hapohapo tumekaribia kuuvuka sekenke, yule myaturu alitaka kutuchanganya.
 
Back
Top Bottom