Echolima
JF-Expert Member
- Oct 28, 2007
- 3,826
- 2,057
Na inaposhikiliwa ndege yetu kwa madeni unasimamia kwa nani???jamani si muwe mnatulia mnaandika vizuri!! mwaka huu watu watakufa kwa pressure!!
Na inaposhikiliwa ndege yetu kwa madeni unasimamia kwa nani???jamani si muwe mnatulia mnaandika vizuri!! mwaka huu watu watakufa kwa pressure!!
Uthubutu usiotumia akili na maarifaTukifanikiwa to make it safe to the side of the river,Magufuli is going down in history as the greatest president to ever hold the office,ikitokea tumefeli Magu atakuwa rais mwenye uthubutu kuwahi kutokea Tanzania,Mungu ibariki Tanzania,Mungu mmbariki Magufuli ,Mungu mponye lissu,Mungu mjalie busara kabudi na timu yake,maendeleo hayana chama,amina
Na linapokuja lipi ndo husimami naye?Linapokuja swala la kupigania rasilimali zetu huwa nasimama upande wa Rais Magufuli.
Anapochemka.Na linapokuja lipi ndo husimami naye?
Na inaposhikiliwa ndege yetu kwa madeni unasimamia kwa nani???
Na inaposhikiliwa ndege yetu kwa madeni unasimamia kwa nani???
kajifunze english structure kwanza au andika kwa kiswahili utaeleweka.Hakuna jipya hapo zaidi ya dramatic
Linapokuja swala la kupigania rasilimali zetu huwa nasimama upande wa Rais Magufuli.
Haha, Sasa watu na akili zao wange kaa kupoteza muda? Mkuu embu uwe unaufyata tu muda mwingine.Hakuna jipya hapo zaidi ya dramatic
Mkuu,ndiyo maana ya "Team"...Hata panapokuwa na team ya mpira na benchi la ufundi,sio wote wanaoingia uwanjani....Kuna "Technical Bench"Hizi story za kuunga unga JPM alisema wamefika 25 hiyo picha wako kumi au hao wengine mmewaficha