Mambo 12 yenye majina mengi ya mtaani

Mambo 12 yenye majina mengi ya mtaani

Wewe Phlagiey wacha kuingilia mambo usiyoyajua, mimi Mokoyo na ICHANA ndio tunajua tutumie maneno gani kwenye maisha yetu.

Kaa mbali na familia yetu

kwa ufafanuzi
ANATISHA = yuko vizuri n.k

Sasa na wewe kama sio kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa kweli maana ya anatisha ni= yuko vizuri?

Mbona uko vizuri ni neno linalojitosheleza kabisa hata halina maana kama unavyosema?.

Ebu nyoosha maelezo.!
 
Sasa na wewe kama sio kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa kweli maana ya anatisha ni= yuko vizuri?

Mbona uko vizuri ni neno linalojitosheleza kabisa hata halina maana kama unavyosema?.

Ebu nyoosha maelezo.!

Sweet ICHANA kuwa makini na huyu jirani kama vile katumwaaaa
 
Last edited by a moderator:
Sweet ICHANA kuwa makini na huyu jirani kama vile katumwaaaa

Acha kuruka ruka jibu swali, nimetumwa na nani?

Wewe usha mtukana binti wa watu kwamba anatisha umeanza kutapa tapa hauna hata majibu.......!
 
kwenye kiungo cha mwanamke na mwanaume kuna maneno makuu kabisa yanayoelezea hizo vitu viwili hivyo umeviacha kuviandika sasa sijui ni kwa makusudi au kwa bahat mbaya ama hujui?

ha ha ha tatizo jukwaa litanibana ila kwenye kamusi nimeandika..
 
Phlagiey mbona kama uko serious na vitu visivyo vya msingi. Neno nililotumia ni la kawaida na linaeleweka katika lugha ya kiswahili ingawa ni neno lisilo rasmi kwa tafsiri hiyo.

Naona nikupuuze sasa.
 
Last edited by a moderator:
Phlagiey mbona kama uko serious na vitu visivyo vya msingi. Neno nililotumia ni la kawaida na linaeleweka katika lugha ya kiswahili ingawa ni neno lisilo rasmi kwa tafsiri hiyo.

Naona nikupuuze sasa.

Mkuu nilikuwa natania labda maswali yangu ndiyo yamekutisha kwa kuvaa u-serious, lakini hapo ilikuwa full utani tu, siwezi kuwa serious kwa mambo kama hayo......
 
Mtu anakuambia unatisha we unamjibu "sweety i love you so much" hii nayo kali badala ya kuhoji kwa nini unatisha.

Kumbe wewe unatisha nilikuwa sijui aisee! we ni wakuweka mbali na watoto maana kitu kinachotisha sio cha kuwa nacho karibu...!

hahahahahaha anajihami lol
 
mleta mada uko vizuri he he he he he hiyo collection naona iko vizuri
 
ha ha ha tatizo jukwaa litanibana ila kwenye kamusi nimeandika..
teh teh nimekusoma ngoja nikuongezee mawili matatu
tendo la ndooa- kunyamba
pesa -ankara ,mavumba
style ya tendo - kuna moja inaitwa tumzoemee mwamfupe.(ukitaka maelezo ikoje nitakupa)
kutongoza-kutia vocal
 
Kulala-kuliangusha,kudozi,kudoro,kumbonji,kuvimba,kufa nusu,kuzima gari
Njaa-ukame,ubao,mtunya,kigogo
kulewa-kupasha,kuonjaa,kuzimua,
 
Back
Top Bottom