Aaaaah mapaparaz wengi tukutane kijiwen mida mida hii bhasi
ICHANA mydia unatishaa
SWEETY i love u soo much.
tatizo miss neddy kamwita mume wangu huku na ni best yangu kabisa huyu daaa
Mtu anakuambia unatisha we unamjibu "sweety i love you so much" hii nayo kali badala ya kuhoji kwa nini unatisha.
Kumbe wewe unatisha nilikuwa sijui aisee! we ni wakuweka mbali na watoto maana kitu kinachotisha sio cha kuwa nacho karibu...!
Vikojoleo, Jicho, tiGo, dah sorry kumbe niko MMU nilidhani kule ukubwani
Wewe Phlagiey wacha kuingilia mambo usiyoyajua, mimi Mokoyo na ICHANA ndio tunajua tutumie maneno gani kwenye maisha yetu.Mtu anakuambia unatisha we unamjibu "sweety i love you so much" hii nayo kali badala ya kuhoji kwa nini unatisha.
Kumbe wewe unatisha nilikuwa sijui aisee! we ni wakuweka mbali na watoto maana kitu kinachotisha sio cha kuwa nacho karibu...!