Mambo 10 niliyoyaona leo Yanga Vs Simba

Mwishokambi

JF-Expert Member
Nov 23, 2020
319
1,202
1. Beki Israel Mwenda amekuwa mtu wa kufanya makosa sana lakini Benchika anaendelea kumvumilia

2.Inonga Baka amejivunja makusudi na sasa Simba imuachie akaangalie maisha mengine.

3. Che Malone amepoteza uwezo wake wa kujiamini na amekuwa akitoa boko sana, atupishe.

4. Mabeki wa Yanga walimshindwa kabisa Kibu Dennis leo lakini Benchika akamtoa badala ya kumuacha ashambulie pamoja na Micquisone.

5. Sijui kwanini Benchika hamkubali Micquisone na anawakubali wachezaji ambao wameshashindwa.

6.Ngoma, Babacar, Sadio Kanoute, Freddy, Jobe, Saido imetosha sasa.

7. Nalia na Benchika, Benchika hana uwezo wowote kumzidi Mgunda.

8.Yanga pamoja na ushindi lakini ni wa kawaida sana.

9. Simba wangekuwa makini leo pamoja na ubovu wa wachezaji wao wangeweza kuifunga Yanga kama wangetumia nafasi vizuri.

10. Simba haina umoja kwa sababu watu walinyimwa dili za usajili tangu msimu uanze.
 
Mbili fc
20240420_212137.jpg
20240420_211650.jpg
 
Unaandika ujinga, kunywa maji mengi upumzike.

Una uthibitisho gani kama Inonga hakuumia? Au huko kujivunja?

Mabeki wa Yanga unasema walimshindwa Kibu kwani Kibu mbali na mimbio na minguvu ana madhara gani na uzuri wachezaji wa Yanga walikuwa wameshajua kumkaba.

Yanga kama ya kawaida kawaulize bingwa wa Algeria, Misri, Ghana na Africa kusini watakupa habari za Yanga. Umepigwa nje ndani halafu unasema Yanga ya kawaida
 
Unaandika ujinga, kunywa maji mengi upumzike.
Una uthibitisho gani kama Inonga hakuumia? Au huko kujivunja?
Mabeki wa Yanga unasema walimshindwa Kibu kwani Kibu mbali na mimbio na minguvu ana madhara gani na uzuri wachezaji wa Yanga walikuwa wameshajua kumkaba.

Yanga kama ya kawaida kawaulize bingwa wa Algeria, Misri, Ghana na Africa kusini watakupa habari za Yanga. Umepigwa nje ndani halafu unasema Yanga ya kawaida
Huyo mmang'ati nimemshangaa sana hata mimi
 
1. Beki Israel Mwenda amekuwa mtu wa kufanya makosa sana lakini Benchika anaendelea kumvumilia
2.Inonga Baka amejivunja makusudi na sasa Simba imuachie akaangalie maisha mengine
3.Che Malone amepoteza uwezo wake wa kujiamini na amekuwa akitoa boko sana, atupishe
4.Mabeki wa Yanga walimshindwa kabisa Kibu Dennis leo lakini Benchika akamtoa badala ya kumuacha ashambulie pamoja na Micquisone
5.Sijui kwanini Benchika hamkubali Micquisone na anawakubali wachezaji ambao wameshashindwa
6.Ngoma, Babacar, Sadio Kanoute, Freddy, Jobe, Saido imetosha sasa.
7.Nalia na Benchika, Benchika hana uwezo wowote kumzidi Mgunda
8.Yanga pamoja na ushindi lakini ni wa kawaida sana
9.Simba wangekuwa makini leo pamoja na ubovu wa wachezaji wao wangeweza kuifunga Yanga kama wangetumia nafasi vizuri.
10.Simba haina umoja kwa sababu watu walinyimwa dili za usajili tangu msimu uanze.
No.9 kocha alitakiwa kuanza na mshambuliaji mmoja wangepata hata goli moja kwakua nafasi zilikosa watu wahusika hasa Saidoo ni mzigo mkubwa sn kwa mnyama
 
namba nane umefeli Sana maana kuona yanga ya kawaida Sana ni kwamba kipindi cha pili Yanga waliamua kupoza mpira an ndio maana hata simba wakapata gori,pili huwezi kumuita mpinzani wake WA kawaida ikiwa amekufunga Mara zote mbili huo ni ujinga...
 
1. Beki Israel Mwenda amekuwa mtu wa kufanya makosa sana lakini Benchika anaendelea kumvumilia

2.Inonga Baka amejivunja makusudi na sasa Simba imuachie akaangalie maisha mengine.

3. Che Malone amepoteza uwezo wake wa kujiamini na amekuwa akitoa boko sana, atupishe.

4. Mabeki wa Yanga walimshindwa kabisa Kibu Dennis leo lakini Benchika akamtoa badala ya kumuacha ashambulie pamoja na Micquisone.

5. Sijui kwanini Benchika hamkubali Micquisone na anawakubali wachezaji ambao wameshashindwa.

6.Ngoma, Babacar, Sadio Kanoute, Freddy, Jobe, Saido imetosha sasa.

7. Nalia na Benchika, Benchika hana uwezo wowote kumzidi Mgunda.

8.Yanga pamoja na ushindi lakini ni wa kawaida sana.

9. Simba wangekuwa makini leo pamoja na ubovu wa wachezaji wao wangeweza kuifunga Yanga kama wangetumia nafasi vizuri.

10. Simba haina umoja kwa sababu watu walinyimwa dili za usajili tangu msimu uanze.
kibu ni mbinafsi sana
 
namba nane umefeli Sana maana kuona yanga ya kawaida Sana ni kwamba kipindi cha pili Yanga waliamua kupoza mpira an ndio maana hata simba wakapata gori,pili huwezi kumuita mpinzani wake WA kawaida ikiwa amekufunga Mara zote mbili huo ni ujinga...
Hapana, alikuwa akitegemea kupokea kipigo cha 5G nyingine. Baada ya kuona hazikupatikana ndiyo akajisikia ahueani na kusema kumbe Yanga ni wa kawaida tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom