Mambo 10 niliyojifunza Zanzibar

Mambo 10 niliyojifunza Zanzibar

Unguja kuna mnyamwezi ni yule yeyote atokae bara ataitwa mnyamwezi hii sababu huko kitambo wanyamwezi ndio walikua wakienda kufanya kazi za mashambani,kuna mnungwi,mkojani,mtumbatu n.k,ila mpemba yy anajifanya smart hata ukienda pemba utamkuta mpemba tu ila wakifika unguja watawaita wenzao kila jina walitakalo kiufupi mpemba anambagua kila mtu iwe unguja au pemba,muunguja anabaguliwa na mpemba hapo hapo unguja imagine siku ya kuvunjika muungano muunguja inabidi ajipange kisawa sawa akizubaa kaumia

Waunguja wamedumaa sana, wengi wao ni wavivu kupitiliza. Wapemba ni majembe
 
Kuna jamaa alikuja ofisin akaniambia kwamba bara kwenye pombe wako vizuri ila wanawake wanawatawala AKILI na ni wepes kuangushwa na mwanamke hata Kama atakua tajiri kiasi gan anaweza filisiwa na mwanamke

Na akasema kwa bara POMBE sio wapenz Sana( nimeamini hapo uliposema mlev wanamshangaa) ila kwa upande wa wanawake wao sio rahisi kuangusha kimafanikio na mwanamke Ila POMBE akiianza anaweza potea kimafanikio,

Alinipa mfano huku bara Kama RAFIKI yako ana gari basi ukimuomba upige rounds kadhaa ataenda muuliza mkewe nimpe, Ila wao kule mtu ana wake wanne hakuna anaemtawala ana maamuzi ya kukupa bila kuuliza mkewe.
 
Wazanzibari hawana makelele utakuta Mitaa yao kama za Mazense, Mwananyamala, keko, lakini mtaani kumetulia ukikuta nyumba inapiga muziki na mikelele ujue wanaishi humo ni watanganyika.
Sifa ya watanganyika huwa hawajisikii raha mpaka waamshe popo.
 
Kuna dogo mmoja shombe nilimgusa bahati mbaya kalio,, akaniuliza "wewe wala tundu la huzuni".
Sikuelewa nikamwambia una maana ipi shekhe? Akajibu "wajua wewe,wajifanya hujui,ushanifahamu?"

Nikaachana nae, badae nikauliza mtu "Tundu la huzuni" ni nini? Akanambia maana yake yule dogo shoga anatoa marinda yani wali nazi.
Zenji wanamajina mengi sana ya Tig0.
 
Kuna dogo mmoja shombe nilimgusa bahati mbaya kalio,, akaniuliza "wewe wala tundu la huzuni".
Sikuelewa nikamwambia una maana ipi shekhe? Akajibu "wajua wewe,wajifanya hujui,ushanifahamu?"

Nikaachana nae, badae nikauliza mtu "Tundu la huzuni" ni nini? Akanambia maana yake yule dogo shoga anatoa marinda yani wali nazi.
Zenji wanamajina mengi sana ya Tig0.
 
na wazungu nao ni waarabu mpaka Wana chama cha mashoga na bendera yao.?
ishu ya ushoga ipo kila mahala.ni ngumu kusema ni race fulani ndo wameanzisha kikubwa ni kupiga Vita bila kuangalia Nani anafanya
Sehemu aliyopita na kuaaa muarabu, Kuna uvivu na unaskini na ufir.aji.
Sasa endelea kukataa kukubali.
 
na wazungu nao ni waarabu mpaka Wana chama cha mashoga na bendera yao.?
ishu ya ushoga ipo kila mahala.ni ngumu kusema ni race fulani ndo wameanzisha kikubwa ni kupiga Vita bila kuangalia Nani anafanya
zanzibar ushoga uko wazi wazi wanaume wengi wanakalia tako moja
 
zanzibar ushoga uko wazi wazi wanaume wengi wanakalia tako moja
Ila hauwaoni wakiandamana ili waharalishwe tofauti na wazungu.ambao Kuna mpaka wakati wanasema ni hali ya binadamu Tena mpaka misaada wanaweza kukunyima sababu umekataa ushoga
 
1. Pamoja na kubarikiwa ardhi nzuri na yenye rutuba, Zanzibar kuna mfumuko wa bei sana kwenye bidhaa za vyakula vya bustani kama matunda na mboga mboga... siyo kama kwetu Moshi.

Kwa sasa ndizi fupi, ambazo Moshi tunatumia kutengeneza mbege ni shilingi 500.

2. Samaki na bidhaa za bahari ni ghali kuliko hata maeneo yasiyo na bahari Tanzania bara

Usidhani kwamba ukifika hapa utakula samaki kwa mtelezo,ebwana bei ya samaki wote hadi pweza inazidi hata Morogoro, nadhani ni effect ya utalii au umasikini,mtu anavua samaki anauza kipande elfu 5 ambacho bara elfu 2.

3. Watu wake wengi ni wavivu na wanaopenda kazi za mtelemko,pia kubebana na rushwa iko kwa kiwango kikubwa sana kwenye baadhi ya sekta kama afya,elimu na biashara

hapa ndio shida ilipo,wazenji wengi wavivu sana na wapenda dezo...ila wanaridhika na wanachopata...wanapenda sana connection na hakuna haki,huku ni nani anajuana na nani na kila mmoja anajigamba anafanya kazi ikulu au yeye ni usalama wa taifa

Zanzibar hakuna mnyonge,unakuta mshona viatu anasema yeye ni ndugu wa raisi kwahiyo usimchukulie poa.

Kwenye elimu kuna kubenana sana ndio maana ubora wa elimu yao uko chini sana kulinganisha na bara,ushahidi ni matokeo ya kidato cha nne.

4. Kama unapenda ngono za ovyo ovyo basi huku utakua na option mbili tu

(a) Kufa na nyege zako
(a) Kununua malaya wanaotoka bongo hasa kwa gia ya kuja kufanya kazi za hotel,hawa wengi wanapatikana muda wowote kwenye msururu wa bar zilizopo karibu na uwanja wa amani..huko zimepangwa gari ndogo ndio gesti hizo,unalipia demu unaenda chakatia humo sababu gharama ya gesti ni juu sana na masharti ni makubwa.

Ama ukiweza uende kununua malaya shamba huko pembezoni ya mji kama kiwengwa,nungwi,paje n.k

Ukikamatwa na binti wa watu mvaa shungi hapo lazima uoe na wao ndoa ni kitu huwa hawacheleweshi hata kidogo...unaozeshwa na ndugu wanahamia hapo hapo sasa utachagua uwakimbie au ubaki upambane na hali.

5. Watoto wa kiume zanzibar wako kwenye hatari kubwa zaidi kimalezi kuliko watoto wa kike.

hili suala baya sana..kuna kesi nyingi sana za watoto wa kiume kulawitiwa na kulawitiana,zanzibar watoto wa kike wanalindwa sana na sheria za dini na imewasahau wanaume...ni kawaida kukuta watoto wa miaka 10-25 wako maskani hadi saa tano au sita usiku bila uangalizi wowote

matumizi ya dawa za kulevya na sigara pia bangi hadharani ni makubwa sana kulinganisha na bara.

ndio maana kitaaluma wanaoongoza ni wasichana siyo wavulana,na wanawatawala hadi ndani ya nyumba

mwanaume wa zanzibar kukuta anaosha vyombo,kupika na kufua ni kawaida wakati mke wake akiwa anapaka hina au kashika mtoto kwa mikono miwili(hawabebi mtoto mgongoni)

6.ukiona dada yako kaaga anaenda zanzibar kufanya kazi ya hoteli,au kwa shoga yake kutembea,au tu kazi yoyote isiyo professional basi ujue yupo huku anajiuza.

maisha zanzibar ni ghali sana kuishi bila kipato cha uhakika...kwahiyo njia pekee ya wenye mtaji mbususu ni kuiuza kwa nguvu ukizingatia kuna uhaba sana wa mbususu

kwahiyo kuwa makini sana na mdada abayeaga kwenda zanzibar

7.dhana ya ubaguzi kwa zanzibar ni vile wewe utaamua kuishi nao,ukitaka usibaguliwe basi usichangamane sana nao hasa hasa kama wewe ni mgalatia...ila ukiwa kiherehere kwenye mambo yao utaona unabaguliwa kila mara sababu wakikuuliza jina ukasema naitwa matayo basi kuna baadhi ya mambo utayasikia tu.

waulize walioomba sensa

8.wazanzibari hawana makuu...yeye akienda kuendesha boda boda akatimiza malengo saa nne asubuhi basi anarudi kulala na mke wake

hawana mambo ya kulazimisha mtu kwenye biashara wala kuita ita uje kununua

akitaja bei hata hana haja ya kukuuliza una shingapi,ukishindwa ondoka ataishia kusema Si riziki...

konda wa daladala kama hana chenchi anakurudishia hela yako uende bila matusi wala kashfa...konda akiita mtu mara moja harudii na mara nyingine anamuomba abiria siti hasa hasa ikiwa jioni kachoka,konda anakaa abiria anasimama

9.wageni wengi ndio wanawasanua akili sasa hivi wanaamka kiasi,lakini wameamka kipindi ambacho wengi wamepigwa gap kubwa sana.

uzuri kihistoria hakuna mmiliki halali wa hivi visiwa lakini kwa sasa mambo mengi yamekamatwa na wageni hasa wahindi na waarabu,wabantu wana hali mbaya sana za kiuchumi...ukimkuta masikini zanzibar ni masikini kweli kweli

10.wanapenda umwinyi na kusifiwa au muhindi

wewe ukimwona mweupe mwite mwarabu basi anafurahi sana,zawadi mpe kanzu na balaghashia

kama unataka demu basi anzia hapo kwenye kumwita mwarabu,na wao huwa wanasema wao ni waarabu,kumbe ni mazao ya muingiliano huo uliotokea zamani kati ya wageni mbalimbali waliokua wakifika hapa kwa shughuli zao.

ila wao wanachojua kwao ni Oman

All in All.....Zanzibar kuzuri kuishi sana ila usiwe na makuu,hautapata huduma nyingi kwa haraka na nafuu kama ulivyozoea bara

hakuna bar na gesti holela mtaani,ni mara chache sana kupishana na mlevi na akitokea mtu anakatiza mahala kalewa basi wanaitana mtaa mzima kuja kumshangaa.

Hapo Amani kuna mtu anaweza kuniekeleza Amani kwa wapi?
 
Mkuu hujaongezea pia Zanzibar inaongoza kwa kurogana a.k.a ndumba , wenyeji wenyewe wanasema kapigwa kipapai, ku prove hilo utawaona vijana wadogo mtaani wamedata ukiuliza vizuri jee anavuta bangi hapana bali utaambiwa kapigwa kipapai (😂😂😂).
Na pia kwa kuongezea kutokana na uhaba wa kupata mbususu kule ndio sababu ya vijana wengine wa kiume kulawitiana wao kwa wao.
Na ndio maana mizigo (fungasha) zinapokwenda Zanzibar kule huwa wanazishangaa sana.

Kuishi Zanzibar ukiwa huna ramani ya kueleweka ni kugumu balaa kupita maelezo.
Yapo mazuri machache ya zanzibar ila mengi ni magumu sana hususan kesi za ulawiti na kurogana.

Kumkuta mtu na kanzu na haiba nzuri ila kuwa shoga ni kitu cha kawaida kule.

Ila kukuona ww mbara na binti ulovaa suruali na kukusema vibaya au huna maadili kwao sio big issue.

Wenye akili tumetoroka kule wacha tuishi bara.
 
1. Pamoja na kubarikiwa ardhi nzuri na yenye rutuba, Zanzibar kuna mfumuko wa bei sana kwenye bidhaa za vyakula vya bustani kama matunda na mboga mboga... siyo kama kwetu Moshi.

Kwa sasa ndizi fupi, ambazo Moshi tunatumia kutengeneza mbege ni shilingi 500.

2. Samaki na bidhaa za bahari ni ghali kuliko hata maeneo yasiyo na bahari Tanzania bara

Usidhani kwamba ukifika hapa utakula samaki kwa mtelezo,ebwana bei ya samaki wote hadi pweza inazidi hata Morogoro, nadhani ni effect ya utalii au umasikini,mtu anavua samaki anauza kipande elfu 5 ambacho bara elfu 2.

3. Watu wake wengi ni wavivu na wanaopenda kazi za mtelemko,pia kubebana na rushwa iko kwa kiwango kikubwa sana kwenye baadhi ya sekta kama afya,elimu na biashara

hapa ndio shida ilipo,wazenji wengi wavivu sana na wapenda dezo...ila wanaridhika na wanachopata...wanapenda sana connection na hakuna haki,huku ni nani anajuana na nani na kila mmoja anajigamba anafanya kazi ikulu au yeye ni usalama wa taifa

Zanzibar hakuna mnyonge,unakuta mshona viatu anasema yeye ni ndugu wa raisi kwahiyo usimchukulie poa.

Kwenye elimu kuna kubenana sana ndio maana ubora wa elimu yao uko chini sana kulinganisha na bara,ushahidi ni matokeo ya kidato cha nne.

4. Kama unapenda ngono za ovyo ovyo basi huku utakua na option mbili tu

(a) Kufa na nyege zako
(a) Kununua malaya wanaotoka bongo hasa kwa gia ya kuja kufanya kazi za hotel,hawa wengi wanapatikana muda wowote kwenye msururu wa bar zilizopo karibu na uwanja wa amani..huko zimepangwa gari ndogo ndio gesti hizo,unalipia demu unaenda chakatia humo sababu gharama ya gesti ni juu sana na masharti ni makubwa.

Ama ukiweza uende kununua malaya shamba huko pembezoni ya mji kama kiwengwa,nungwi,paje n.k

Ukikamatwa na binti wa watu mvaa shungi hapo lazima uoe na wao ndoa ni kitu huwa hawacheleweshi hata kidogo...unaozeshwa na ndugu wanahamia hapo hapo sasa utachagua uwakimbie au ubaki upambane na hali.

5. Watoto wa kiume zanzibar wako kwenye hatari kubwa zaidi kimalezi kuliko watoto wa kike.

hili suala baya sana..kuna kesi nyingi sana za watoto wa kiume kulawitiwa na kulawitiana,zanzibar watoto wa kike wanalindwa sana na sheria za dini na imewasahau wanaume...ni kawaida kukuta watoto wa miaka 10-25 wako maskani hadi saa tano au sita usiku bila uangalizi wowote

matumizi ya dawa za kulevya na sigara pia bangi hadharani ni makubwa sana kulinganisha na bara.

ndio maana kitaaluma wanaoongoza ni wasichana siyo wavulana,na wanawatawala hadi ndani ya nyumba

mwanaume wa zanzibar kukuta anaosha vyombo,kupika na kufua ni kawaida wakati mke wake akiwa anapaka hina au kashika mtoto kwa mikono miwili(hawabebi mtoto mgongoni)

6.ukiona dada yako kaaga anaenda zanzibar kufanya kazi ya hoteli,au kwa shoga yake kutembea,au tu kazi yoyote isiyo professional basi ujue yupo huku anajiuza.

maisha zanzibar ni ghali sana kuishi bila kipato cha uhakika...kwahiyo njia pekee ya wenye mtaji mbususu ni kuiuza kwa nguvu ukizingatia kuna uhaba sana wa mbususu

kwahiyo kuwa makini sana na mdada abayeaga kwenda zanzibar

7.dhana ya ubaguzi kwa zanzibar ni vile wewe utaamua kuishi nao,ukitaka usibaguliwe basi usichangamane sana nao hasa hasa kama wewe ni mgalatia...ila ukiwa kiherehere kwenye mambo yao utaona unabaguliwa kila mara sababu wakikuuliza jina ukasema naitwa matayo basi kuna baadhi ya mambo utayasikia tu.

waulize walioomba sensa

8.wazanzibari hawana makuu...yeye akienda kuendesha boda boda akatimiza malengo saa nne asubuhi basi anarudi kulala na mke wake

hawana mambo ya kulazimisha mtu kwenye biashara wala kuita ita uje kununua

akitaja bei hata hana haja ya kukuuliza una shingapi,ukishindwa ondoka ataishia kusema Si riziki...

konda wa daladala kama hana chenchi anakurudishia hela yako uende bila matusi wala kashfa...konda akiita mtu mara moja harudii na mara nyingine anamuomba abiria siti hasa hasa ikiwa jioni kachoka,konda anakaa abiria anasimama

9.wageni wengi ndio wanawasanua akili sasa hivi wanaamka kiasi,lakini wameamka kipindi ambacho wengi wamepigwa gap kubwa sana.

uzuri kihistoria hakuna mmiliki halali wa hivi visiwa lakini kwa sasa mambo mengi yamekamatwa na wageni hasa wahindi na waarabu,wabantu wana hali mbaya sana za kiuchumi...ukimkuta masikini zanzibar ni masikini kweli kweli

10.wanapenda umwinyi na kusifiwa au muhindi

wewe ukimwona mweupe mwite mwarabu basi anafurahi sana,zawadi mpe kanzu na balaghashia

kama unataka demu basi anzia hapo kwenye kumwita mwarabu,na wao huwa wanasema wao ni waarabu,kumbe ni mazao ya muingiliano huo uliotokea zamani kati ya wageni mbalimbali waliokua wakifika hapa kwa shughuli zao.

ila wao wanachojua kwao ni Oman

All in All.....Zanzibar kuzuri kuishi sana ila usiwe na makuu,hautapata huduma nyingi kwa haraka na nafuu kama ulivyozoea bara

hakuna bar na gesti holela mtaani,ni mara chache sana kupishana na mlevi na akitokea mtu anakatiza mahala kalewa basi wanaitana mtaa mzima kuja kumshangaa.

Uongo mtupu mwanzo mwisho
 
Mim sijakaa Zanzibar Ila nilisoma na wazanzibar wale watu ni wachafu sana, Ila wapemba ni wachapakazi sana ila wa-unguja ni wavivu sana
Kwa uchafu wazanzibar wanangoza... Kuna jamaa jeshini ye alikuwa anaingia na mustini lile bakuli la Chuma la jeshini chooni...ukimuuliza kwanini.. anakwambia wewe mbona unaenda na mdomo unaolia Chakula chooni na yeye hasoni ajabu wala kukushangaa? Amaaa? Unabaki unashangaa tu!
 
Hoja yako imekosa mantiki kwani imetumia hisia zaidi pamoja na mhemko na siyo uhalisia. Uliposema 'Wazanzibar' ni (maana yake wote) hujawahi na hutawahi kukaa na Wazanzibar wote kwa pamoja halafu ukahitimisha kuwa wote ni wachafu.

Uchafu ni tabia ya mtu binafsi na si tabia ya jamii nzima. Wengi wao (kama siyo wote )wanafuta imani ya dini ya Kiislamu ambayo katika moja ya mafundisho husisitiza usafi. Kama ilivyo ada ya binadamu kuna watakaofuata na kutii maamrisho na kuna wasiyofuata.(Hapa ni utashi binafsi). Ahsante.
Kwa usafi wa mavazi wanajitahidi ila kwenye mazingira ya vyakula na maeneo yao... Ni hovyo
 
Hawana 'greed' kama fx trader
Kuna siku nimekuwa na greed mkuu yaani nikapata profit ya kutosha salary ya mtu wa degree kwa mwezi mie ndani ya dakika Kama kumi nikaona ndogo. Sasa ulizia kilichofuata hapo. Ila umenifurahisha
 
Back
Top Bottom