Mamba Aiangusha Ndege Kongo, 20 Wafariki

hii imekaa kimzaha zaidi....inakuwaje usafirishe mnyama bila kujulikana....na alitokaje huko kwenye begi? anyway RIP wote waliokufa but hainiingii akilini....
 
kwa comgo unaweza kukuta hakuwa mamba alikuwa mtu..any way RIP.
 
Evolution is still at work in Africa!
 
Inanikumbusha TRL naikia ugogoni watu walikuwa wanapanda na mbuzi.
Asije ikawa alikuwa Kenge bse mamba wa kutosha kwenye begi ni issue labda kama ana week toka azaliwe.
Sasa kamamba kadogo ako taharuki inatoka wapi?Naona mazoea nakumbuka nikiwa mdogo nshawai mtimua mamba akiwa nchi kavu ila alipofika majini akataka nichenjia nkachapa mwendo.
Kwetu mamba tunaoga nao mbona
 
Snake on a plane anyone?

I am sad about the accident though. Let this be evidence that stupidity kills, you can add this to Darwin Awards at the end of the year.
 
Africa....Africa...ooh Africa. I love it!
 
Huko Congo usafiri wa ndege ni kama wa daladala za Mwenge hadi Mbagala,kwenye ndege utakuta imejaa na imesimamisha abiria wakiwa na mizigo lukuki,kwa mtu ambaye umetoka huko East Afrika utashangaa ,na humo ukipanda kila mtu anasali kivyake ,sijawahi kuona usafiri wa hatari na mbovu na usio na sheria za usafiri wa anga kama DRC,hakika tembea uone.
 
Mamba ndani ya bag, Isije ikawa kafara za biashara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…