Mama'ake anapodandia bili ya mwanawe!

jamani ruta pole, kumbe ana mtu tayari, tena wanaishi wote. jamani hiyo kesi mbona ndogo sana. mi nilijua yupo kwa wazazi. mwabie akupe mtoto, kama hataki alee mwenyewe. PERIODIC TABLE! LOLEST! Wadada wengine kha!

Ni kweli, tena usiamini malezi anayopewa hasa anapokuwa na huyo boyfriend wake ambaye according to you useless. Malezi ni muhimu kuliko hata hiyo pesa, fuatilia kama kuna kasoro mchukue umlee mwenyewe; l am sure kisheria ukiprove kwamba mtoto halelewi katika mazingira mazuri unaweza pata rights za kumtunza mwenyewe.
 
TIMING hilo nalitambua na kulikubali........................lakini nalo lina mipaka yake.....................mie laki saba ni nying wajamani lakini ana usongo mkali anataka kunikamua zaidi adai bado ninazo nyingi zaidi kwa hiyo nimkatia mara tatu yake every month ili yey na bwana wake wale tu mie huku nawasotea...................
kaka nakuunga mkono

Ila ndio kuna pale tunapoambiwa tujipange kabla ya kutenda, na tunapotenda basi tuwe tayari kuishi na consequences

You dropped a few proteins, alas! the proteins have grown to a human being.... thats your seed bro
 
Swali la msingi, if you dont concur; what can she possibly do? How old is the baby!
700 grands ni pesa ya kutosha kwa maisha ya kawaida; kama kweli unazitoa hizo monthly!

kila mwezi M-Pesa anatumiwa.....lakini anataka 2.1m/=.........jamani for what alichonifanyia? Tukishindwana adai anaenda kufungua kesi ya amtunzo ya mtoto....na atafanya hivyo kunikomoa anajua sitaki khabaro kuzagaa kwenye vyombo vya khabari.............hiyo ndiyo silaha yake ya veto...............lakini yeye anaishi na jamaa mwingine na amezaa naye mtoto..................sasa anataka nibebe majukumu ya kulea watu wa familia nzima.......yeye, hawara yake. mwanangu na wa kwake na huyu loser wake.......................it hurts very much Kaunga
 
Last edited by a moderator:
kaka nakuunga mkono

Ila ndio kuna pale tunapoambiwa tujipange kabla ya kutenda, na tunapotenda basi tuwe tayari kuishi na consequences

You dropped a few proteins, alas! the proteins have grown to a human being.... thats your seed bro

TIMING haya sikuelezwa kabal ya kumtefuna kidosho huyu..........na yaelekea hata yeye hakuwa nayo hadi pale ambapo jamaa yake kamsomesha naye akaafiki huu upuuzi.she is just being unreasonable
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli, tena usiamini malezi anayopewa hasa anapokuwa na huyo boyfriend wake ambaye according to you useless. Malezi ni muhimu kuliko hata hiyo pesa, fuatilia kama kuna kasoro mchukue umlee mwenyewe; l am sure kisheria ukiprove kwamba mtoto halelewi katika mazingira mazuri unaweza pata rights za kumtunza mwenyewe.

Idara ya ustawi wa jamii inasema ya kuwa kama hajafikia miaka 7 mama anayo haki ya kimsingi ya kumlea mtoto labda nithibitishe ya kuwa hana uwezo au kuna hitilafu za kumzuia asimlee.................kwa hiyo nimekwama sina vithibitisho vya kumnyanganya mwanangu..................
 
Hali hizo sijui ndio cerelac na lactogen?!
Kwahiyo havalishwi diapers?
Hali hizo sijui ndio cerelac na lactogen?!

Anakula na kuvaa nini? Kama wewe hujawahi kukaa na mtoto mwenyewe hata wiki moja ukajua mahitaji yake naomba nikujulishe kwamba ni ghali sana. Usishangae watu wanajipanga kuzaa. . .wanajua gharama zake.

Ukiangalia hizo diapers packet yenye sijui ni 40 haipungua 26,000. . . na hizo kama mtoto anabadilishwa properly (haachwi achwi na uchafu) basi matumizi ni yatafika hata 8 kwa siku.

8 x 5 = 40 . . . .meaning hata wiki hazimalizi.
Siku 30/siku 5 = packet 6
Packet 6 x (-+)26, 000 = 156 000
Hapo bado chakula, mavazi, vitu vyakichezea, wipers, mafuta, sabuni(siongelei mbuni). . . .
Kama unataka asiwe ghali mwambie ampe huyo mtoto maisha ya kawaida sana. Maziwa ya chai kwa siku pant moja 500, unga wa uji wa mahindi hauzidi 200, kumfunga atumie vipande vya kanga vilivyochakaa, sabuni ya mbuni mche 400 kama sikosei, na nguo mnaenda kwenye zile nadhani zinaitwa saula saula elfu mbili mbili tu mpaka mia tano unapata nguo za ukweli.

lizzy, ni kweli kabisa hiyo pesa haitoshi kabisaa, kulea mimba si kazi, kazi kulea mwana kama rutashumbanyuma unaona hizo gharama kubwa ungesubiri au ungetumia zana.chezea kulea mtoto weye!!!

ummu kulthum................laki saba wajamani ni kitita kikubwa kwa kulea mtoto.....be reasonable toooo.
 
Mh!:baby: ...pole Ruta...
[MENTION]
Chauro[/MENTION] pole hanitoshi..............nishauri a way forward......................nimekwama..............
 
jamani ruta pole, kumbe ana mtu tayari, tena wanaishi wote. jamani hiyo kesi mbona ndogo sana. mi nilijua yupo kwa wazazi. mwabie akupe mtoto, kama hataki alee mwenyewe. PERIODIC TABLE! LOLEST! Wadada wengine kha!


cacico.....mambo magumu kwani idara ya ustawi wa jamii sijui kawapa nini......wanadai anayo khaki ya kukaa na mtoto hadi afikishe miaka saba..........
 
Last edited by a moderator:
ni upepo tu ruta, utapita...............! pamoko sana kaka!

cacico.......................upepo huu hauwezi kupita..........this woman is a dirty blackmailer
 
Last edited by a moderator:
huyo hana hata haya amekugeuza kitega uchumu shtuka 2.1 ya nini huyo mtoto kafikia umri wa kwenda shule au bado kama ndio labda anaunganisha na school fees ambayo bado haingii kichwani kama unatuma kila mwezi.

kila mwezi M-Pesa anatumiwa.....lakini anataka 2.1m/=.........jamani for what alichonifanyia? Tukishindwana adai anaenda kufungua kesi ya amtunzo ya mtoto....na atafanya hivyo kunikomoa anajua sitaki khabaro kuzagaa kwenye vyombo vya khabari.............hiyo ndiyo silaha yake ya veto...............lakini yeye anaishi na jamaa mwingine na amezaa naye mtoto..................sasa anataka nibebe majukumu ya kulea watu wa familia nzima.......yeye, hawara yake. mwanangu na wa kwake na huyu loser wake.......................it hurts very much Kaunga
 
ummu kulthum................laki saba wajamani ni kitita kikubwa kwa kulea mtoto.....be reasonable toooo.

dah resonable unayoitaka ww umeshajibiwa na lizzy.kama unataka mtoto alelewe kwa matabara ya kufua na kuanika ,kwa unga wa dona kama toto yenu sio gojwa gojwa hapo naweza kusema kwamba walau chenchi itabaki kidogo.

Nina kaka angu ameachana na mke wake anatoa hiyo laki saba kila mwenzi na bado mtoto akiumwa gharama juu yake na kumchukua mtoto haiwezekani causemtoto bado mdogo upo hapo kijana.
 
[COLOR=#0000cd said:
lizzy,[/COLOR] ni kweli kabisa hiyo pesa haitoshi kabisaa, kulea mimba si kazi, kazi kulea mwana kama rutashumbanyuma unaona hizo gharama kubwa ungesubiri au ungetumia zana.chezea kulea mtoto weye!!!

Huyo mtoto wa maige....baba anajikamua kutoka laki saba na wewe unatumia kama zilivyo jamani na bado unataka zaidi....mwalimu anaishi na mtoto,mume na mdogo wake kwa laki na nusu na mtoto ana survive fresh....uko ni kukomoana...kwanza ni bahati kapata baba responsible hata baada ya ndoa kuisha mahakamani na kugawana vitu..

Ilitakiwa baada ya kugawana na bwana anasepa uone kama mtoto atakufa na njaaa....kukuta mwanaume responsible kama ruta....few in milion....wengine wameolewa na waume zao wana pesa lakini laki tatu kuona live ni ngumu...sebuse waishi mbali kudeka tu.
 
ummu kulthum................laki saba wajamani ni kitita kikubwa kwa kulea mtoto.....be reasonable toooo.

dah resonable unayoitaka ww umeshajibiwa na lizzy.kama unataka mtoto alelewe kwa matabara ya kufua na kuanika ,kwa unga wa dona kama toto yenu sio gojwa gojwa hapo naweza kusema kwamba walau chenchi itabaki kidogo.
nina kaka angu ameachana na mke wake anatoa hiyo laki saba kila mwenzi na bado mtoto akiumwa gharama juu yake na kumchukua mtoto haiwezekani causemtoto bado mdogo upo hapo kijana.


Watu wanapenda rahisi kweli. . .
Style ya maisha ndio inayoleta hizo gharama. . .kana anaona ni too much ambadilishie tu.
 
Rutashubanyuma ushauri wangu kwako ni kumuuliza listi nzima ya mahitaji ya mtoto na ujitoe mazima kununua each and everything mwenyewe kwani unalipia na shelter?
Kama hiyo ikishindikana omba ushauri kwa lawyer wako, uone hatua gani za kisheria unaweza kuchukua.
Hivi wanaume hawako protected kwenye mambo haya?
 
Rutashubanyuma ushauri wangu kwako ni kumuuliza listi nzima ya mahitaji ya mtoto na ujitoe mazima kununua each and everything mwenyewe kwani unalipia na shelter?
Kama hiyo ikishindikana omba ushauri kwa lawyer wako, uone hatua gani za kisheria unaweza kuchukua.
Hivi wanaume hawako protected kwenye mambo haya?

Ndio analipia na shelter. . .wengine kama sio watoto wangebanana na ndugu/marafiki.
 
Heri sisi wa zamani
Haya ya kwenu jamani
yanatisha si utani
Laki saba mfukoni
Eti yafaa nini,
Hamna huruma jamani?

Ziwe ngapi ziwatoshe,
kulea mwana mmoja,
Tena msizikwepeshe,
Na hawara mkafuja,
Mkaja zua kasheshe
siku kunena kwa mja.

Pole Rutashubanyuma,
Kwani Lizy naye mama,
Atatetea hujuma,
Hata kama linazama,
Hao wana chao chama,
Kuhujumu kina baba.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom