Sasa mama yangu mpenzi gfsonwin, ili kudhihirisha upendo wangu kwako nakuletea zawadi za kufa mtu na wamasai
wawili! Kwanza nimefungasha mabox ya Dodoma wine na zabibu zake! Halafu ninapitia dubai nitakuletea kile kiitwacho 'set
adimu ya mwanamke' yaani hereni, mkufu, bangili, pete, saa, shanga za matumizi ya 'kawaida', zote za dhahabu safi kwa
gramu za kutosha! Nitakulete pia wallet na pochi ambazo hakika kila ubebapo watu hawatachoka kugeuza macho. Hapo
sijazema vile vigauni na viatu kutoka Gucci na Chanel! Haya yote ni sign ya upendo wangu kwako. Siwezi kusahau mikono
yako mwororo ilipokuwa inaniogesha enzi za utoto wangu!
Ndiyo hivyo mwanetu keshaharibikiwa............kuchukua mijimama ndio ada yake, hasikii la mwadhini wala mteka maji msikitini
mwanangu Ronn M aliyenyonya chuchu zangu hawez kuwa na tabia kama hizo za kifedhuli. nlimlea malezi bora tena yenye nidham na heshima kubwa sana na nimjuavyo labda kama unamkuadiaga vinginevyo hafanyi.
Basi hun.... hebu tangulia kitandani nakuja kukutoa huzuni my love.
Siku utakapomkuta magomeni na jimama la kidengereko ndipo utakapojua kuzaa si kupata
Siku utakapomkuta magomeni na jimama la kidengereko ndipo utakapojua kuzaa si kupata
Akal platozoom, nitake radhi mimi na mama yangu mpenzi gfsonwin! Amenilea katika maadili mazuri sana na kamwe
siwezi kuharibikiwa kama unavyosema. Alinikuza katika njia inayofaa nami sitaiacha hata nitakapozeeka. Hujajua jinsi
alivyofanikiwa kujenga bond kubwa ya upendo wa kweli moyoni mwangu. Yupo akilini, rohoni, nafsini na mwilini mwangu
kiasi kwamba hata mawazo yakishetani yajapo nikimkumbuka yeye tuu baasi. Nakupenda sana mama yangu, wangu wa
moyo!
Akal platozoom, nitake radhi mimi na mama yangu mpenzi gfsonwin! Amenilea katika maadili mazuri sana na kamwe
siwezi kuharibikiwa kama unavyosema. Alinikuza katika njia inayofaa nami sitaiacha hata nitakapozeeka. Hujajua jinsi
alivyofanikiwa kujenga bond kubwa ya upendo wa kweli moyoni mwangu. Yupo akilini, rohoni, nafsini na mwilini mwangu
kiasi kwamba hata mawazo yakishetani yajapo nikimkumbuka yeye tuu baasi. Nakupenda sana mama yangu, wangu wa
moyo!
ABOMINATION!! Inakuwaje wake zangu wakawa wanangu!!!!!:nerd::nerd::nerd:
Duuuuu huyu bi shost lazima atakuwa mrangi huyu lol ndio nini kujaza mavitambaa hivyo ?