flood
Senior Member
- Jul 10, 2017
- 131
- 202
Habarini wana JF,
Mimi ni kijana ambaye nimeajiriwa sekta binafsi, nilikuwa na mahusiano na binti mmoja mpk sasa ni miaka mitatu na tumefanikiwa kupata mtoto mmoja.
Changamoto ilitokea kidogo kati ya mama na mkwe wake kama ambavyo inatokea kwa mama na bnt zake wa kike, sasa baada ya hapo mama akasema hataki kumuona huyo bnt tena ni bora nitume matumizi tuu na aliitisha kikao cha kumpinga huyu mzazi mwenzangu, baadae nilikubaliana nae ila nilikaa nikatafakari kwa mda nikaona mama yangu hataki nioe kwa sasa na wala haoni umuhimu wa mm kuwa na mke kwa personal interest zake anasema nikiwa na mke matumizi yatakuwa juu na sitamjali japo nilimkatalia maana nilipokuwa nae nikifanikiwa kwa haraka na kuna kipindi huyu Bnt alikuwa ananipa hela na ninampa Mama na mpk sasa nikipiga mahesabu sio chini ya 4 milion ila mama haelewi hilo....
Nilichokifanya nimemuita huyu dada tuishi na kulea mtoto wetu na ninahisi amani kama ni ndoa tutafunga baadae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni kijana ambaye nimeajiriwa sekta binafsi, nilikuwa na mahusiano na binti mmoja mpk sasa ni miaka mitatu na tumefanikiwa kupata mtoto mmoja.
Changamoto ilitokea kidogo kati ya mama na mkwe wake kama ambavyo inatokea kwa mama na bnt zake wa kike, sasa baada ya hapo mama akasema hataki kumuona huyo bnt tena ni bora nitume matumizi tuu na aliitisha kikao cha kumpinga huyu mzazi mwenzangu, baadae nilikubaliana nae ila nilikaa nikatafakari kwa mda nikaona mama yangu hataki nioe kwa sasa na wala haoni umuhimu wa mm kuwa na mke kwa personal interest zake anasema nikiwa na mke matumizi yatakuwa juu na sitamjali japo nilimkatalia maana nilipokuwa nae nikifanikiwa kwa haraka na kuna kipindi huyu Bnt alikuwa ananipa hela na ninampa Mama na mpk sasa nikipiga mahesabu sio chini ya 4 milion ila mama haelewi hilo....
Nilichokifanya nimemuita huyu dada tuishi na kulea mtoto wetu na ninahisi amani kama ni ndoa tutafunga baadae.
Sent using Jamii Forums mobile app