Mama yangu ananinyima Uhuru kwenye mitandao ya kijamii

wazazi wa kike bwana mkuuu me nilimpa mama yangu smartphone Na nikamfungulia fb account Na WhatsApp pamoja Na Instagram nilijutaa ukiaplod picha anakoment mh, napita, itoe mbaya ohoooo nikaona isiweshida nikamblock atulie
bora kulogwa kuliko kunyimwa uhuru
 
Guys!!!yani Oahu za mamaako mzazi ambae amekulea mpaka umefikia hapo ulipo,ambae pengine inafaa uzungumze nae kwa ukaribu kuliko wanawake wote huku duniani,amekuambia kitu unaacha kumuuliza kulikoni unakuja kuuliza hapa JF,serious????

Stop kidding bana
 
Chunguza anayofanya yeye mitandaoni, wewe ni mtu mzima usihoji sana. Cha kufanya mwepuke anakopita maana kuna mengine hawezi kukwambia. Kwa umri wako, mama yako anaweza kuwa si mtu mzima sana kama wewe ndie mtoto wake mkubwa.
Ni mawazo yangu tu!
 
Kijana bado hujajua upendo wa mama yaan mamako anakupenda sana na wallah siku akiwa hayupo duniani utamiss huo unaita usumbufu wake
 
Guys!!!yani Oahu za mamaako mzazi ambae amekulea mpaka umefikia hapo ulipo,ambae pengine inafaa uzungumze nae kwa ukaribu kuliko wanawake wote huku duniani,amekuambia kitu unaacha kumuuliza kulikoni unakuja kuuliza hapa JF,serious????

Stop kidding bana
Sitanii ni jambo la kweli hata nyie mnaweza kunisaidiaa pia although ameniambia pia
 
Kijana bado hujajua upendo wa mama yaan mamako anakupenda sana na wallah siku akiwa hayupo duniani utamiss huo unaita usumbufu wake
Kaka mama anasoma mambo ya divity pale makumira hivyo namwogopa sana mana Ata saikolojia yupo vizuri na pia mim sijaishi nae muda mrefu nilianza kuishi nae 2014 toka 2000 hivyo
 
Labda uko online kila 24/7. Na bado unasema. Or unatamaa sana ya kupata vitu vizuri hivyo mama anaogopa utapitia mpango wa nyuma kuvipata
 
Back
Top Bottom