Mama yangu ananinyima Uhuru kwenye mitandao ya kijamii

Abdulazizmomba

Senior Member
May 9, 2015
189
35
Habari wanajamvi,
Nilianza kutumia mitandao ya kijamii kama Facebook toka mwaka 2010 mpaka sasa bado naitumia sana. Lakini kinachoninyima Uhuru in Baada ya Mama yangu kujiunga na mitandao hii kama Facebook na Twitter pamoja na instagram.

Yeye ameianza mwaka huu ila kila Mara unakuta ananipigia simu maana yupo mbali kidogo na Mimi ananiambia Mara niwe makini nisije kujiunga FREEMASONS hapa ndo napoanza kukosa hata hamu ya kuitumia hiyo mitandao .

Je ni ugeni tu unampa hofu kama hizo???? Au hataki niwe naitumia??? Au anaambiwa mambo ya uongo kuhusu hii mitandao maana si mwenyeji sana????? Nashindwa kujua dhumuni lake maana hata humo kwenye hiyo mitandao sijawah kuweka POST CATOONS

Wakuu nawasilisha
 
wazazi wa kike bwana mkuuu me nilimpa mama yangu smartphone Na nikamfungulia fb account Na WhatsApp pamoja Na Instagram nilijutaa ukiaplod picha anakoment mh, napita, itoe mbaya ohoooo nikaona isiweshida nikamblock atulie
 
wazazi wa kike bwana mkuuu me nilimpa mama yangu smartphone Na nikamfungulia fb account Na WhatsApp pamoja Na Instagram nilijutaa ukiaplod picha anakoment mh, napita, itoe mbaya ohoooo nikaona isiweshida nikamblock atulie

Mkuu apo sina namna itabidi in mblock tuu kama
Mchangiaji mmja alivosema social network ni kwa friends
 
Back
Top Bottom