Abdulazizmomba
Senior Member
- May 9, 2015
- 189
- 35
Habari wanajamvi,
Nilianza kutumia mitandao ya kijamii kama Facebook toka mwaka 2010 mpaka sasa bado naitumia sana. Lakini kinachoninyima Uhuru in Baada ya Mama yangu kujiunga na mitandao hii kama Facebook na Twitter pamoja na instagram.
Yeye ameianza mwaka huu ila kila Mara unakuta ananipigia simu maana yupo mbali kidogo na Mimi ananiambia Mara niwe makini nisije kujiunga FREEMASONS hapa ndo napoanza kukosa hata hamu ya kuitumia hiyo mitandao .
Je ni ugeni tu unampa hofu kama hizo???? Au hataki niwe naitumia??? Au anaambiwa mambo ya uongo kuhusu hii mitandao maana si mwenyeji sana????? Nashindwa kujua dhumuni lake maana hata humo kwenye hiyo mitandao sijawah kuweka POST CATOONS
Wakuu nawasilisha
Nilianza kutumia mitandao ya kijamii kama Facebook toka mwaka 2010 mpaka sasa bado naitumia sana. Lakini kinachoninyima Uhuru in Baada ya Mama yangu kujiunga na mitandao hii kama Facebook na Twitter pamoja na instagram.
Yeye ameianza mwaka huu ila kila Mara unakuta ananipigia simu maana yupo mbali kidogo na Mimi ananiambia Mara niwe makini nisije kujiunga FREEMASONS hapa ndo napoanza kukosa hata hamu ya kuitumia hiyo mitandao .
Je ni ugeni tu unampa hofu kama hizo???? Au hataki niwe naitumia??? Au anaambiwa mambo ya uongo kuhusu hii mitandao maana si mwenyeji sana????? Nashindwa kujua dhumuni lake maana hata humo kwenye hiyo mitandao sijawah kuweka POST CATOONS
Wakuu nawasilisha