Mama yako ndiye nabii nambari 1 kwako

Mama yako ndiye nabii nambari 1 kwako

Samia atosha tukutane2030

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
17,169
Reaction score
48,681
Mama yako ndiye anajua hatma yako tangu ukiwa tumboni au ukiwa mtoto mchanga.
Kuna jambo anaweza kuongea kama masihara vile, wewe haupaswi kulipokea kama masihara.

Mama yako akimwona mchumba wako tu anajua kuwa umepigwa au penyewe sema tu wamama huwa na tabia ya kupuuzia.
Msikilize mama yako kijana
 
Back
Top Bottom