Na kweli na ndiyo maaana wamepigwa upofu kila wanalolitekeleza wanafikiri wamejificha kumbe wako uchi kila konadamu ya chacha wangwe inawalilia mkuu. mwaka huu wataaibika sana
Na kweli na ndiyo maaana wamepigwa upofu kila wanalolitekeleza wanafikiri wamejificha kumbe wako uchi kila konadamu ya chacha wangwe inawalilia mkuu. mwaka huu wataaibika sana
Wewe
lazima uko kundi moja na Barcelona katika kuandaa mkakati wa kumteka huyu mama wa watu. BARCELONA kajiunga. jF leo hii na mahsusi kwa ajili ya tukio hili la kumteka MAma Zitto. Hivi HUyu Zoka anayetajwa hmu siyo yule aliyetajwa na gazeti la mwanahalisi kuwa ni rafiki wa karibu na ZITTO? Halafu leo anakwenda kumteka Mama yake? Kweli CDM mnatapatapa
lengo la stori hii ni kumkamata Sabula Hemed ambaye aliwarekodi wakina Mwanga hoteli ya Sea Cliff .....jikumbusheni tamko la bobezi Marando ....over
we ndio huna akili kabisa unataka kutuaminisha ujinga wako huo wa kutungwa.una akili sawa sawa wewe???mbona unataka kupotosha mada na ukweli??? mama yake zitto amemtambua kada wa chadema. hata hivyo tuwe tunasoma na kuelewa kabla ya kuchangia.
Chadema ina kila sababu za ukuichukua nchi hii mikononi mwa maccm kwani yameshindwa kuwalinda watanzania ili hali waliapa kuwalinda....
we ndio huna akili kabisa unataka kutuaminisha ujinga wako huo wa kutungwa.
We bacelona wewe kwa nini usiwe muwazi juu ya ushahidi wako huu,nikisoma post yako kunavitu vingi unajifunga kama ungeku uko polisi ulikuwa mtegoni mbona.siku hizi ndio mtindo , umesahau ya you tube na Lwakatare?
Du mkuu, tunakushukuru sana kwa taarifa hii. Sasa ukweli unaanza kujulikana. Kumbe mzee mbowe ndo kaandaa mpango huo kwa kushirikiana na dr slaa? Du kweli wameamua muda huuMAELEZO YA MAMA ZITTO
, Shida alimpigia simu katibu mkuu wa CHADEMA DR. WILIBROD SLAA na kumueleza juu ya tukio hilo, DR Slaa alimwambia kwamba aende kuripoti katika ofisi yao ya ulinzi na usalama makao makuu ya CHADEMA. Alipoenda ofisi ya ulinzi na usalama alimkuta Naibu mkurugenzi wa ulinzi na usalama aitwaye AHMED SABULA ambaye alimwambia Shida kwamba, wamepata habari juu ya tukio hilo na pia wanazo habari za yeye kupita mikoani kumnadi mwane Zitto Kabwe ili apate uenyekiti wa CHADEMA. Maneno hayo yalimkatisha tamaa, Akaamua kuondoka, lakini alipofika njiani alipigiwa simu na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ambaye alimfokea kwanini alikwenda kueleza tukio la kuvamiwa na vijana hapo makao makuu ya CHADEMA. Mama SHIDA shida alikosa la kusema na hatimaye akaanza kuamini kuwa vijana wale walitumwa na Mbowe ili kumtisha au kumdhuru
MAMA ZITTO amesema kuwa alipokuwa mwanza, hotelini aliwahi pia kuvamiwa na vijana wawili wa kiume ambao walijifanya wamepotea chumba.
Huyu mama na mwanae wote Chama Cha Mafisadi tu, sijui wanangoja nini huku?! hawa chokochoko hawakuanza leo!! timua tu!!
Sasa hivi kila kibaka ili habari yake iwe muhimu lazima aambiwe ni mwanachadema,
Ningemsihi mama yetu mpendwa atulie aendelee kula mema ya nchi kwa amani, asikubali kuingizwa kwenye mchezo huu wa siasa chafu, atuache sisi na mwanae kipenzi Zitto tuendelee na siasa zetu.
Hii nayo mpya mii inaniogopesha hebu fafanua nasi tujue hivi vitu vipoje.MAELEZO YA MAMA ZITTO
, Shida alimpigia simu katibu mkuu wa CHADEMA DR. WILIBROD SLAA na kumueleza juu ya tukio hilo, DR Slaa alimwambia kwamba aende kuripoti katika ofisi yao ya ulinzi na usalama makao makuu ya CHADEMA. Alipoenda ofisi ya ulinzi na usalama alimkuta Naibu mkurugenzi wa ulinzi na usalama aitwaye AHMED SABULA ambaye alimwambia Shida kwamba, wamepata habari juu ya tukio hilo na pia wanazo habari za yeye kupita mikoani kumnadi mwane Zitto Kabwe ili apate uenyekiti wa CHADEMA. Maneno hayo yalimkatisha tamaa, Akaamua kuondoka, lakini alipofika njiani alipigiwa simu na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ambaye alimfokea kwanini alikwenda kueleza tukio la kuvamiwa na vijana hapo makao makuu ya CHADEMA. Mama SHIDA shida alikosa la kusema na hatimaye akaanza kuamini kuwa vijana wale walitumwa na Mbowe ili kumtisha au kumdhuru
MAMA ZITTO amesema kuwa alipokuwa mwanza, hotelini aliwahi pia kuvamiwa na vijana wawili wa kiume ambao walijifanya wamepotea chumba.