GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,647
- 109,037
"Mwanangu Fei Toto Kanyanyasika sana, tumevumilia mengi, kuna mengine ya Siri tunayajua ila tunaomba Kamati itende Haki kwa Mwanangu Fei Toto. Wanafamilia wote tuko nyuma ya Feisal Salum Fei Toto juu ya hili Suala lake na Mimi kama Mama yake Mzazi nasema hapa yaje Maamuzi yoyote ila Mwanangu hatoichezea tena Yanga SC kwani Wamemnyanyasa na Kumdharau mno" amesema Mama yake Mzazi Feisal Salum ( Fei Toto ) leo Asubuhi akizungumza na EFM Radio katika Kipindi chao cha Michezo cha Sports Headquarters.
GENTAMYCINE ninachowapendea Wazanzibari ni tabia yao ya kuwa na Misimamo Kimaamuzi hata kama watapigiwa Simu za Vitisho na Wastaafu, Mdhamini na Viongozi wa Wizara, Bunge na Mikoa.
Kuanzia sasa hatutaki tena Kusikia Kelele za Wapuuzi na Washamba kuwa Fei Toto anarejea / atarejea Mafurikoni Madimbwini Jangwani kwani tayari Mama yake ameshaufunga Mjadala.
GENTAMYCINE ninachowapendea Wazanzibari ni tabia yao ya kuwa na Misimamo Kimaamuzi hata kama watapigiwa Simu za Vitisho na Wastaafu, Mdhamini na Viongozi wa Wizara, Bunge na Mikoa.
Kuanzia sasa hatutaki tena Kusikia Kelele za Wapuuzi na Washamba kuwa Fei Toto anarejea / atarejea Mafurikoni Madimbwini Jangwani kwani tayari Mama yake ameshaufunga Mjadala.