Diva Beyonce JF-Expert Member Joined Mar 6, 2014 Posts 12,913 Reaction score 11,292 Aug 8, 2014 #41 HARUFU said: Ngoja nijipendekeze hata kwenye siasa labda naweza pata huyo binti Click to expand... Hata mwana Asha mzuri kama babake
HARUFU said: Ngoja nijipendekeze hata kwenye siasa labda naweza pata huyo binti Click to expand... Hata mwana Asha mzuri kama babake
Jotojiwe JF-Expert Member Joined Mar 24, 2012 Posts 334 Reaction score 130 Aug 8, 2014 #42 She is not like myfist lady!
Zekidon JF-Expert Member Joined May 29, 2013 Posts 1,903 Reaction score 569 Aug 8, 2014 #43 Ndibalema said: Hamfikii mama yetu. Click to expand... nikweli mkuu mama yetu anatupa heshima yetu Watanzania
Ndibalema said: Hamfikii mama yetu. Click to expand... nikweli mkuu mama yetu anatupa heshima yetu Watanzania
Zekidon JF-Expert Member Joined May 29, 2013 Posts 1,903 Reaction score 569 Aug 8, 2014 #44 HARUFU said: View attachment 176040 Sura, wanafanana sana Click to expand... WA kawaida Sana, sijaona uzito WA kufunguliwa thread,
HARUFU said: View attachment 176040 Sura, wanafanana sana Click to expand... WA kawaida Sana, sijaona uzito WA kufunguliwa thread,
truegooner JF-Expert Member Joined Apr 23, 2014 Posts 779 Reaction score 339 Aug 8, 2014 #45 Mama ni mzuri kuliko binti, ebu fikirieni alipokuwa miaka 25, huyu mama alikuwaje? Ila wasichana wa Kirwanda, miguu kama magogo.
Mama ni mzuri kuliko binti, ebu fikirieni alipokuwa miaka 25, huyu mama alikuwaje? Ila wasichana wa Kirwanda, miguu kama magogo.
stata mzuka JF-Expert Member Joined Nov 25, 2012 Posts 4,834 Reaction score 1,765 Aug 9, 2014 #46 Kibo10 said: View attachment 176040 Click to expand... Kagame kumbe wembamba wa reli tu,,,Pande hizo hilo tukunyema anakunjwa na mheshimiwa ukiingia ghafla unaweza sema kuna kiwete Sent from my iPad Air using JamiiForums
Kibo10 said: View attachment 176040 Click to expand... Kagame kumbe wembamba wa reli tu,,,Pande hizo hilo tukunyema anakunjwa na mheshimiwa ukiingia ghafla unaweza sema kuna kiwete Sent from my iPad Air using JamiiForums
Kigogo JF-Expert Member Joined Dec 14, 2007 Posts 20,508 Reaction score 6,199 Aug 9, 2014 #47 Zekidon said: WA kawaida Sana, sijaona uzito WA kufunguliwa thread, Click to expand... Wa kawaida? Utafananisha na flat screen yenu
Zekidon said: WA kawaida Sana, sijaona uzito WA kufunguliwa thread, Click to expand... Wa kawaida? Utafananisha na flat screen yenu
B'REAL JF-Expert Member Joined Oct 20, 2010 Posts 4,573 Reaction score 3,255 Aug 9, 2014 #48 Victoire said: Ange kwa kifaransa,ANGEL KWA KIINGILISH,hujambo lakini?kwa hiyo basi ni Angel na sio Agnes Click to expand... angelaa ki arusha
Victoire said: Ange kwa kifaransa,ANGEL KWA KIINGILISH,hujambo lakini?kwa hiyo basi ni Angel na sio Agnes Click to expand... angelaa ki arusha
A asakuta same JF-Expert Member Joined Mar 1, 2011 Posts 14,829 Reaction score 5,039 Aug 9, 2014 #49 moto chini
Gama JF-Expert Member Joined Jan 9, 2010 Posts 13,264 Reaction score 4,740 Aug 12, 2014 #50 B'REAL said: angelaa ki arusha Click to expand... Enjo......... kimatumbi
Crocodiletooth JF-Expert Member Joined Oct 28, 2012 Posts 21,854 Reaction score 26,093 Aug 12, 2014 #51 truegooner said: Mama ni mzuri kuliko binti, ebu fikirieni alipokuwa miaka 25, huyu mama alikuwaje? Ila wasichana wa Kirwanda, miguu kama magogo. Click to expand... @weka picha hapa!
truegooner said: Mama ni mzuri kuliko binti, ebu fikirieni alipokuwa miaka 25, huyu mama alikuwaje? Ila wasichana wa Kirwanda, miguu kama magogo. Click to expand... @weka picha hapa!
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Joined Oct 5, 2007 Posts 23,265 Reaction score 17,134 Aug 12, 2014 #52
Mamndenyi Platinum Member Joined Apr 11, 2011 Posts 44,616 Reaction score 64,476 Aug 12, 2014 #53 Mama wa nguvu, Uko vizuri mama mwenzetu.
Zamiluni Zamiluni JF-Expert Member Joined Feb 11, 2014 Posts 13,996 Reaction score 15,118 Aug 12, 2014 #54 Mungu Mweke JK na familiya yake, Maana hadi PRINCE CHARLES kumuinukia Princess wetu !!! Hongera Tanzania.
Mungu Mweke JK na familiya yake, Maana hadi PRINCE CHARLES kumuinukia Princess wetu !!! Hongera Tanzania.
uporo wa wali ndondo JF-Expert Member Joined Dec 3, 2013 Posts 3,454 Reaction score 2,242 Aug 12, 2014 #55 Ngongo said: Watutsi wana sura nzuri sema wanatabia ya kudharau makabila mengine,mfano mzuri ni hali ya mambo huko Rwanda na Burundi hawataki kuongozwa na wahutu ambao ndio kabila kubwa both Rwanda and Burundi. Click to expand... Na roho mbaya pia
Ngongo said: Watutsi wana sura nzuri sema wanatabia ya kudharau makabila mengine,mfano mzuri ni hali ya mambo huko Rwanda na Burundi hawataki kuongozwa na wahutu ambao ndio kabila kubwa both Rwanda and Burundi. Click to expand... Na roho mbaya pia
N Ndinani Platinum Member Joined Aug 29, 2010 Posts 7,812 Reaction score 4,817 Aug 12, 2014 #56 princess sayuni said: Mama yetu ana sura ya kiswahili Click to expand... Mama yenu amejaa mapete mikononi!!!!
princess sayuni said: Mama yetu ana sura ya kiswahili Click to expand... Mama yenu amejaa mapete mikononi!!!!
N Ndinani Platinum Member Joined Aug 29, 2010 Posts 7,812 Reaction score 4,817 Aug 12, 2014 #57 princess sayuni said: Hata mwana Asha mzuri kama babake Click to expand... Sio uzuri kama baba yake tu bali hata akili ni kama baba yake!!!
princess sayuni said: Hata mwana Asha mzuri kama babake Click to expand... Sio uzuri kama baba yake tu bali hata akili ni kama baba yake!!!
Gama JF-Expert Member Joined Jan 9, 2010 Posts 13,264 Reaction score 4,740 Aug 12, 2014 #58 Ndinani said: Sio uzuri kama baba yake tu bali hata akili ni kama baba yake!!! Click to expand... Kwahiyo na yeye atakuwa mbunge wa msoga, Kisha atakuwa waziri na baadae rais!!!!!!??????
Ndinani said: Sio uzuri kama baba yake tu bali hata akili ni kama baba yake!!! Click to expand... Kwahiyo na yeye atakuwa mbunge wa msoga, Kisha atakuwa waziri na baadae rais!!!!!!??????
N Ndinani Platinum Member Joined Aug 29, 2010 Posts 7,812 Reaction score 4,817 Aug 12, 2014 #59 Gama said: Kwahiyo na yeye atakuwa mbunge wa msoga, Kisha atakuwa waziri na baadae rais!!!!!!?????? Click to expand... Kumbuka kuwa huyu binti alifeli form four!!!!
Gama said: Kwahiyo na yeye atakuwa mbunge wa msoga, Kisha atakuwa waziri na baadae rais!!!!!!?????? Click to expand... Kumbuka kuwa huyu binti alifeli form four!!!!
Anko Sam JF-Expert Member Joined Jun 30, 2010 Posts 3,254 Reaction score 906 Aug 12, 2014 #60 Ndibalema said: Hamfikii mama yetu. Click to expand... Ilishasemwa na huyu naye anachimbuko la huko huko!
Ndibalema said: Hamfikii mama yetu. Click to expand... Ilishasemwa na huyu naye anachimbuko la huko huko!