Sasa miaka ya 90 uliweza kupata mtoto? Miaka 22 iliyofuatia ulikuwa unafanyaje?
Na mi nimejiuliza hivyo imagine for 20 yrs ?
Sasa miaka ya 90 uliweza kupata mtoto? Miaka 22 iliyofuatia ulikuwa unafanyaje?
Sasa miaka ya 90 uliweza kupata mtoto? Miaka 22 iliyofuatia ulikuwa unafanyaje?
nafikiri usema miaka ya 90 haimaaninish 1990 inawezekana hayta 1999. na kama alikuwa ni kjana wa miaka 25 ni wazi kwamba huu ndo muda wake wa kuoa.
ushauri wangu, huyo mama mtoto hafai kuwa mkeo she looks as an opportunistic person. alikokuwa kumeungua ndo mana karudi kwako. mweleze kwamba you can't, and marry your new love. if possible take your kid.
Kama mlipata mtoto miaka ya 1990 na baada ya hapo kila mmoja akashika maisha yake in maana imepita miaka 22, kama ulikuwa na miaka 30 sasa una 50. Kama mama mtoto alikuwa na miaka 25 sasa ana 45, wewe unakuwa chungu cha ngapi ? Ni vizuri utulie na huyo uliye naye kuliko kurudi kwa mtu ambaye alikuona hafai, kama mtoto ndiye anakupenda, basi chukua mtoto wako; na sasa hivi tayari ni mtu mzima maana ana miaka 22 anafahamu anachokifanya.
Mh, umeanza kushauri hivi, ndio maana kule kwa wazee hatukuoni kabisa...sababu ya wewe kutochombeza lile jukwaa, kwa sasa limepwaya kabisa na halitamaniki..utakuta vitu vya miaka hiyoooo...hakunaga jipya kabisa. hebu rudi bana!
eeeh bhana eeeh
Muulize MUNGU kwenye sala zako yupi ni mkeo....!
kwa hiyo unarudi? itakuwa poa sana...Hahaha...
Haya bhana......!!!
kwa hiyo unarudi? itakuwa poa sana...
mkuu huyu niliye naye nimeanza naye muda na nafikiri anafaa kabisa na nilishakata sahuri,sasa mama wa mtoto kuja kwa kushtukiza ananichanganya sana
wewe ni mwanaume au mwanamke?
unafikiri?this means ur not sure of it,mh napita tumkuu huyu niliye naye nimeanza naye muda na nafikiri anafaa kabisa na nilishakata sahuri,sasa mama wa mtoto kuja kwa kushtukiza ananichanganya sana