rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,889
- 3,412
Jamani duniani kuna mambo,mama wa mtoto wangu ambaye tulizaa wote miaka ya 90 nilimwomba tuoane akakataa kabisa na kuniambia nichukue ustaarabu wangu kwani amepata mpenzi wa kuishi naye milele na wanatarajia kufunga ndoa,eti akaniambia mimi na yeye tutalea mtoto tu hakuna jingine zaidi ya hilo,sasa amekuja tena baada ya muda mrefu na kuniambia anataka tuoane haraka sana eti mtoto wangu ananipenda,,jamani nachanganyikiwa kwa sababu nimeshaamua kuoa mwanamke mwingine ambaye tumeanza uhusiano muda na naona ananifaa kabisa kuishi naye,nifanye nini mimi mbona hawa wananwake wanatuchanganya hivi jamani,hii ni story ya kweli naombeni msaada,kwangu mimi sijisikii kabisa kuishi naye kwani alishanikatisha tamaa kwa kunipa vidonge vya kuumiza!