Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,508
- 13,974
Kama anayo hela mkubalie tu utanufaika kwa kupiga mbususu na hela yakekwanini mkuu?
nishaurini jmn.
Huko mnakoenda siku mbili kwa Basi ni wapi mzee au Congo? Achana na huyo mzee unless umpe malengo kwamba unamla ila anakujengea nyumba Kama Hana hela akale na aliokula nap ujana wake.
Wakati mwingine tuwe kama wanawake walivyo, akipata mdingi anamkamua Kwanza anaweka mambo eazi kabisa kwamba mie nakukubali Ila itaninunulia gari fulani na kadi akupe unahakiki kabisa. Ukija kunogewa at least umekula hela yake sio unakula mzee na hela hana.
Anaweza kuikwepa hiyo mbususu kwa kuogopa dhambi ya uzinzi lakini ana midhambi mingine ya kutosha kabisa, akiamua kula ale tu maana kuna dhambi nyingine nyingi tu anazo na zinamsumbua nafsi yake. Mbususu tunazikimbia kwa sababu kadhaa ikiwemo maradhi na mizinga..otherwise kama ni laana huyo Eva alishaleta laana duniani long time sana.Nyumba na gari vitamsaidia nini wakati atakua keshabeba laana, dhambi na mikosi ya kutosha kwa kulala na huyo mwanamke?
😀😀😀Kwahiyo nawe ni mume na baba wa familia
Kuna wanawake wana mafurushi hakika.
Acha kupenda mtelezoHuko mnakoenda siku mbili kwa Basi ni wapi mzee au Congo? Achana na huyo mzee unless umpe malengo kwamba unamla ila anakujengea nyumba Kama Hana hela akale na aliokula nap ujana wake.
Wakati mwingine tuwe kama wanawake walivyo, akipata mdingi anamkamua Kwanza anaweka mambo eazi kabisa kwamba mie nakukubali Ila itaninunulia gari fulani na kadi akupe unahakiki kabisa. Ukija kunogewa at least umekula hela yake sio unakula mzee na hela hana.
Hayo maandiko ya kutunga yaliyobuniwa na wakoloni kwa maslahi yao binafs futa hapa.Nyumba na gari vitamsaidia nini wakati atakua keshabeba laana, dhambi na mikosi ya kutosha kwa kulala na huyo mwanamke?
Riyan usimuangalie huyo mama kama yeye angalia msukumo wa hiyo roho ya kukutumikisha ulio ndani yake unaenda kutengeneza nini kwenye maisha yako
UFUNUO 2: 13; 19-22
Napajua ukaapo, ndipo penye kiti cha enzi cha Shetani; nawe walishika sana jina langu, wala hukuikana imani yangu, hata katika siku za Antipa shahidi wangu, mwaminifu wangu, aliyeuawa kati yenu, hapo akaapo Shetani.
Nayajua matendo yako na upendo na imani na huduma na subira yako; tena kwamba matendo yako ya mwisho yamezidi yale ya kwanza.
Lakini nina neno juu yako, ya kwamba wamridhia yule mwanamke Yezebeli, yeye ajiitaye nabii na kuwafundisha watumishi wangu na kuwapoteza, ili wazini na kula vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu.
Nami nimempa muda ili atubu, wala hataki kuutubia uzinzi wake.
Tazama, nitamtupa juu ya kitanda, na hao wazinio pamoja naye, wapate dhiki kubwa wasipotubia matendo yake;
Yote 9 ....kwnza ni dhambi mwanamke akubembeleze mwanaume kisa kum gegeda ...dhambi kubwa sana hiyo ....tafta usiku moja weka bia zako kadhaa kichwani unampelekea moto tuone kama kesho atakusumbua tena kwanza atakuheshimu ..zingatia kipochi manyoya haisusiwagi kabisaUtakua yna ugwadu sana mkuu na huna pakupumzkia kias kwamba huchagui mwanamke
Umenikumbusha jamaa yangu mmoja enzi hizo alikua anapiga hovyo hovyo wanaojileta kizemb. Yaan haangalii sura wala umbo sjui nn yeye mradi awe mwanamkealikua anasema yeye ni jiko la shamba halichagui kuni,, tulikua tuna mtania sana ila hakuskia
Naomba nikushauri mkuu, basilica usiwe hivo na sisi wanaume tunapswa kujiheshimu sio kila mwanamke ni wa kusex nae. Mda mwingine jithaminishe huyu sio hadhi yangu sasa ww kila kitobo unataka kupita nacho
Nimekosa kabisa neno zuri la kukuita ila naomba niseme ivi ...AKILI YAKO IMEKOMAA KATIKA KUFIKIRI.... maandiko mengi ni nadharia yakutengeneza hofu ili kupunguza maasi dunianiHayo maandiko ya kutunga yaliyobuniwa na wakoloni kwa maslahi yao binafs futa hapa.
Hicho kitabu mtumba unacho kinukuu ni sawa na kitabu cha kusadikika cha shaban robert.
Huwa nakerwa sana watu kama nyie na hivi vimaandiko uchwara mnavovileta kwa lengo kumtisha mtu na kumtia hofu,, hakuna cha ufunuo wala ufunguo
Wacha bwana!!Anaweza kuikwepa hiyo mbususu kwa kuogopa dhambi ya uzinzi lakini ana midhambi mingine ya kutosha kabisa, akiamua kula ale tu maana kuna dhambi nyingine nyingi tu anazo na zinamsumbua nafsi yake. Mbususu tunazikimbia kwa sababu kadhaa ikiwemo maradhi na mizinga..otherwise kama ni laana huyo Eva alishaleta laana duniani long time sana.
nzuri hiyoooooNitakuwa nimeamua kumpa
Nilipiga mstaafu mmoja alikuwa anafuatilia mafao yake nssf nikiwa kijana kabisa nimetoka chuo,sasa huyu anasems eti miaka 50 ni mzerSiwezi tongoza mwanaume ever.
Miaka 52 huyo ni dogo sana, sema tu wewe huna nguvu za kiume
Shimbonyi awae?Siwezi tongoza mwanaume ever.
Miaka 52 huyo ni dogo sana, sema tu wewe huna nguvu za kiume
Hilo jibu lako limenikubusha hii pichaWacha bwana!!
Yaani we jamaa sijui ulikosea/kubuni namba baadae mmekuja kuonana unaliona zee unakuja kujifanya mwema,, aisee vijana acha uhuni ndo amekung'ang'ania sasa.Wakuu habari?
Mimi ni kijana wa miaka iliyokati ya 30 na 34,nina mke na watoto 2.
Nilikutana na huyu mama kwa Gari kuelekea nchi jirani(jina kapuni). Hivyo kutokana na urafiki tulioujenga ndani ya safari ile ya siku 2 ilinibidi nichukue namba lkn sikuwa na mawazo mabaya.
Lakini huyu mama amenitamkia ananipenda na anatamani kampani yangu sababu mume wake kamuacha na kuhamia kwa mke mwingine.
Pili hana mtu yeyote huku ng'ambo ya Tanzania hivyo anaona mimi nitamfaa zaidi. Mwanzoni nilisita ila nkawa namkwepa kwa kumpa majibu direct na kutokuweka mazungumzo ya mapenzi bali ya kirafiki.
Ila kachachamaa sanaa , ana moto sanaa na mimi naweza nkagonga wanawake umri wa mwisho 40 ila 52 pamezidi sana Sina mzuka naye na havutii kivileee.
(Sina shida na mbususu nina michepuko kama wa2 wa huku huku ng'ambo ,umri kuanzia 25-35)
Nimetafuta kila sababu ya kumtema ila yeye yumo,
Naomba ushauri wakuu nifanyeje?
View attachment 2303886
Naomba nihesabu dhambi zangu kwanza🤣Wacha bwana!!
Wamama Kama hao ndo nawataka. Mpe namba yangu 0716 676060 nitamsugua vizuri tuWakuu habari?
Mimi ni kijana wa miaka iliyokati ya 30 na 34,nina mke na watoto 2.
Nilikutana na huyu mama kwa Gari kuelekea nchi jirani(jina kapuni). Hivyo kutokana na urafiki tulioujenga ndani ya safari ile ya siku 2 ilinibidi nichukue namba lkn sikuwa na mawazo mabaya.
Lakini huyu mama amenitamkia ananipenda na anatamani kampani yangu sababu mume wake kamuacha na kuhamia kwa mke mwingine.
Pili hana mtu yeyote huku ng'ambo ya Tanzania hivyo anaona mimi nitamfaa zaidi. Mwanzoni nilisita ila nkawa namkwepa kwa kumpa majibu direct na kutokuweka mazungumzo ya mapenzi bali ya kirafiki.
Ila kachachamaa sanaa , ana moto sanaa na mimi naweza nkagonga wanawake umri wa mwisho 40 ila 52 pamezidi sana Sina mzuka naye na havutii kivileee.
(Sina shida na mbususu nina michepuko kama wa2 wa huku huku ng'ambo ,umri kuanzia 25-35)
Nimetafuta kila sababu ya kumtema ila yeye yumo,
Naomba ushauri wakuu nifanyeje?
View attachment 2303886