Me too
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,325
- 9,182
Mliwezaje kuishi na hawa wakuitwa mtoto wa mama?
Yaani mnachopanga mama anakijua, mkikutana mama anajua, mkisimuliana background mama anajua, ukiomba hela mama anajua tena anaomba ushauri kwa mama kwanza kabla ya kukupa hela, mkikorofishana mama anajua, mkipatana mama anajua ukiumwa ukimwambia mama ashajua.
Naweza kusema sio mbaya ila mama akoshajua haishii hapo huwa anampa na conclusion kabisaaa. Yaani huyo mtoto wa mama anaishi maisha ya mama sio yake. Yote mzungumzayo hufika kwa mama si kwamba hana kifua ni kulemazwa kuwa mama ampe tecnic za kuishi na mwenza wake.
Mbaya zaidi mama huyu naye umri ukipita wa kustaafu halafu ujana wake aliutumia kujipamba, mawigi na kuoshwa miguu na vijana wapaka rangi akistaafu pesa hupungua, mwanae ndiye anayekuwa ajira mpya ya kutimiza mapungufu.
sasa mama huyu kamseti mtoto toka awali na mtoto nae ndiyo hivyo mambo yote mama anayo, uhusiano huo utasonga mbele kweli?
Hebu mtupe ujuzi namna ya kuishi kwenye mahusiano na hawa watoto wa mama.
KARIBUNI.
Yaani mnachopanga mama anakijua, mkikutana mama anajua, mkisimuliana background mama anajua, ukiomba hela mama anajua tena anaomba ushauri kwa mama kwanza kabla ya kukupa hela, mkikorofishana mama anajua, mkipatana mama anajua ukiumwa ukimwambia mama ashajua.
Naweza kusema sio mbaya ila mama akoshajua haishii hapo huwa anampa na conclusion kabisaaa. Yaani huyo mtoto wa mama anaishi maisha ya mama sio yake. Yote mzungumzayo hufika kwa mama si kwamba hana kifua ni kulemazwa kuwa mama ampe tecnic za kuishi na mwenza wake.
Mbaya zaidi mama huyu naye umri ukipita wa kustaafu halafu ujana wake aliutumia kujipamba, mawigi na kuoshwa miguu na vijana wapaka rangi akistaafu pesa hupungua, mwanae ndiye anayekuwa ajira mpya ya kutimiza mapungufu.
sasa mama huyu kamseti mtoto toka awali na mtoto nae ndiyo hivyo mambo yote mama anayo, uhusiano huo utasonga mbele kweli?
Hebu mtupe ujuzi namna ya kuishi kwenye mahusiano na hawa watoto wa mama.
KARIBUNI.