Mama wa Kambo

Asante kwa hii post,nina watoto pia nina mtoto nipo na mama wa kambo,nilihisi sasa napata uhakika,nachukua hatua
 
Mwanamke muuaji huyo....
 
Daah hapana kwakweli
 
Mentally watu wengi si walezi.

Hatuko tayari kwa huu mjadala.
 
Pole sana brother.
We have the same case ..little bit different. But pole sana. Na Mungu akupe hitaji LAKO.
 
Tatizo hapo ni huyo aliyekua singo mama ambaye aliolewa na mzee.
Kwanza nikuhakikishie singo mama akiolewa yule mzazi mwenzie akitaka uroda anapewa bila masharti, hii nakuhakikishia na hapewi hata Mia sana sana eye ndio atampa pesa mzazi mwenzie.
Speaking from experience.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…