Mama wa kambo si mama

Mama wa kambo si mama,hakuna la kubisha hapo:spider:

Si always, Mimi wife ni mama wa kambo kwa kijana wangu wa ujanani na tunaishi naye sambamba na watoto wetu wa ndoa ,tukitoka tunatoka wote, tukila wote tukienda ibadani wote. Na hata nikisafiri wife ana mtake care kama mtoto wake wa kuzaa na sijawahi sikia malalamiko kupitia kwa bibi, majirani wala kwa baba wadogo au wakubwa. Tulianza kuishi naye tangu O-Level na sasa yuko Higher learning institution na hujisikia comfortable zaidi kukaa hapa nami kuliko kwenda kumtembelea mama yake mzazi.

Kwa hiyo hii ina maanisha nini? ni kwamba mama wa kambo akiwa na hofu ya Mungu na mkakubaliana modality ya malezi bila kinyongo na baba kutokuwa biased basi hakutakuwa na tatizo lolote la malezi. Mtoto anapokuwa chokoraa na kuwa na pre -conception kwamba mama wa kambo ni wabaya basi ataishi ki defensive zaidi hata kama mama wa kambo ana mtreat fairly
 
miso u 2 swir.......mambo yalikuwa mengi mengi mno, yanaingiliana kila kona but soon nitakuwa free....sasa dearest mwenzako mie nampenda mwanangu huyo kupita maelezo, yaani huwa nasema ndio kabinti kangu ka kwanza....hahaha waache kabisa kuna watu tuna roho zetu za imani toka tumboni mwa mama.

Watu tumezaliwa na kulelewa bwana mie vibinti vyangu vinanipenda kuliko maelezo yaani we acha tu yaani nikitoka kazini vinavyoniahangaikia acha tu yaani. Tena mtu akija hapo ha ha ha ndo vinaongeza sifa kweli kweli mie ndo kwanza najidai navyo kwa sana na hivi vilivyokuwa bomba wewe acha kwanza huwa sidhani kama vina mama mwingine zaidi yangu.

Baba yao ndo huwa anashangaa he we umeumbwaje we mwanamke unawapenda watoto kuliko hata baba yao ha ha ha habari ndo hiyo
 
Si always, Mimi wife ni mama wa kambo kwa kijana wangu wa ujanani na tunaishi naye sambamba na watoto wetu wa ndoa ,tukitoka tunatoka wote, tukila wote tukienda ibadani wote. Na hata nikisafiri wife ana mtake care kama mtoto wake wa kuzaa na sijawahi sikia malalamiko kupitia kwa bibi, majirani wala kwa baba wadogo au wakubwa. Tulianza kuishi naye tangu O-Level na sasa yuko Higher learning institution na hujisikia comfortable zaidi kukaa hapa nami kuliko kwenda kumtembelea mama yake mzazi.

Kwa hiyo hii ina maanisha nini? ni kwamba mama wa kambo akiwa na hofu ya Mungu na mkakubaliana modality ya malezi bila kinyongo na baba kutokuwa biased basi hakutakuwa na tatizo lolote la malezi. Mtoto anapokuwa chokoraa na kuwa na pre -conception kwamba mama wa kambo ni wabaya basi ataishi ki defensive zaidi hata kama mama wa kambo ana mtreat fairly


Sema wewe bana maana nikisema mimi mmmhhh
 
Hapo ndo napokupendea my daer umesema kweli.

Hujambo lakini?

sijambo mamii. Bora umerudi aisee.
Mwenzio nahisi nikija kuwa na vitoto vya kambo nitavipenda sana kuliko wanangu.
Huwa vinatiaga huruma hasa wengine wadogo ila unawaona kama washapoteza matumaini.
 
raha ya mama wa kambo awe mdogo kwako...

yaani mtoto wakiume uwe na umri kama 25 hivi..

halafu mama wakambo ana 18 hivi.....raha tupu
 
nani kakuambia mama wa kambo ni mama ila tu sio mama mzazi. Hii huwa inategemea mtu na mtu, kama mwanamke huyo anarohombaya na uchoyo atafanya hivyo hata kwa step chidren wake na kuwajari wa kwake tu

Heshima kwako Slm,

Mkuu Mama wa kambo si mama huu msemo una maana kubwa kwa walioishi na mwanamke[mama wa kambo] aliyeolewa na baba yako.Hakuna mtu mbaya dunia kama mama wa kambo atakufanyia hila kila akipata fursa ya kukuangamiza.Mifano iko mingi sijawahi kuona au kusikia mama wa kambo akampenda kwa dhati mtoto ambaye hajamzaa na ukiona mama wa kambo anampenda mtoto wa mwanamke mwenzake hujue baba kamwekea masharti magumu kweli kiasi hawezi kuonyesha hila zake adharani lakini bado moyoni atabaki na donge.
 
raha ya mama wa kambo awe mdogo kwako...

yaani mtoto wakiume uwe na umri kama 25 hivi..

halafu mama wakambo ana 18 hivi.....raha tupu

hapo hata ukimuita mama basi ni kama utani utani...
the boss inabidi utudokeze raha zake na sisi tuzijuwe
 
ni fikra za kutenda ubaya, mtu yoyote anaweza kuwa na nia,
mama wakambo, baba wakambo, sister wakambo etc, nia
ndio unakufanya uwe mzuri au mbaya.
 
Mama wa kambo si mama,hakuna la kubisha hapo:spider:
Kwanza tumejiuliza nini maana ya mama? Tukijibu hili, tutaweza kufafanua ukweli. Kama kuna mama mbaya anaweza kuwa wa kuzaa au wa kulea. Hautajawahi kuona mama wazazi wanawachoma moto watoto wao kwa kuiba shilingi 100 au kwa kudokoa mboga?

Niliwahi kulelewa na mama wa kambo na alikuwa ananipenda kuliko watoto wake wa kuzaa, sio kwa sababu ya kutaka kujipendekeza kwa baba bali kwa tabia zangu. Kwa hiyo, mara nyingi inapotokea mama wa kambo kutokuwa "mama", tatizo liko zaidi kwa watoto na kwa mtizamo wa kijamii kuliko ukweli wenyewe.
 
Kwanza tumejiuliza nini maana ya mama? Tukijibu hili, tutaweza kufafanua ukweli. Kama kuna mama mbaya anaweza kuwa wa kuzaa au wa kulea. Hautajawahi kuona mama wazazi wanawachoma moto watoto wao kwa kuiba shilingi 100 au kwa kudokoa mboga?

Niliwahi kulelewa na mama wa kambo na alikuwa ananipenda kuliko watoto wake wa kuzaa, sio kwa sababu ya kutaka kujipendekeza kwa baba bali kwa tabia zangu. Kwa hiyo, mara nyingi inapotokea mama wa kambo kutokuwa "mama", tatizo liko zaidi kwa watoto na kwa mtizamo wa kijamii kuliko ukweli wenyewe.
una uhakika ntakupa mfano wa mmama alokuwa anamwambia mtoto wa miaka minne wa kike amnyonye uke wake,kwa hiyo hapo tatizo la mtoto ni nini?
 
una uhakika ntakupa mfano wa mmama alokuwa anamwambia mtoto wa miaka minne wa kike amnyonye uke wake,kwa hiyo hapo tatizo la mtoto ni nini?

Kama sikosei hiyo ishu ilitolewa katika redio. Na ilikuwa ni watoto wawili, m1 wa kike na m1 wa kiume. Lkn ishu ni kuwa yule mama wa watoto, alikuwa anawaacha watoto kwa shoga yake kutokana na kumuamini. Hivyo tofautisha baina ya shoga na mama wa kambo.
 
Kwanza tumejiuliza nini maana ya mama? Tukijibu hili, tutaweza kufafanua ukweli. Kama kuna mama mbaya anaweza kuwa wa kuzaa au wa kulea. Hautajawahi kuona mama wazazi wanawachoma moto watoto wao kwa kuiba shilingi 100 au kwa kudokoa mboga?

Niliwahi kulelewa na mama wa kambo na alikuwa ananipenda kuliko watoto wake wa kuzaa, sio kwa sababu ya kutaka kujipendekeza kwa baba bali kwa tabia zangu. Kwa hiyo, mara nyingi inapotokea mama wa kambo kutokuwa "mama", tatizo liko zaidi kwa watoto na kwa mtizamo wa kijamii kuliko ukweli wenyewe.

nina makala moja ya kuweka lkn nahitaji kuisquiz ili kuendana na viwango vya humu.
 
Kama sikosei hiyo ishu ilitolewa katika redio. Na ilikuwa ni watoto wawili, m1 wa kike na m1 wa kiume. Lkn ishu ni kuwa yule mama wa watoto, alikuwa anawaacha watoto kwa shoga yake kutokana na kumuamini. Hivyo tofautisha baina ya shoga na mama wa kambo.

sizungumzii redio na wala hiyo sijawahi kuisikia,ndio nimekusikia wewe hii ilifika mpaka mahakamani ila ikawa yapigwa kalenda mwenye mtoto akachoka kufatilia akaachana nayo,huwa sileti hadithi za kusikia humu:rain:
 
Mama wa kambo anawezakuwa mama mzuri sana kwa watoto kuliko kawaida na anaweza kuwa mbaya yote haya baba anatakiwa akili mu kichwa aisee
 
Back
Top Bottom