Mama wa kambo kaniharibia kila kitu

Nimeamua kuwa msomaji wa comments pekee hapa, maana nikifunguka nahisi nitarushiwa tu mawe
 
Mzee aliwekeza kwenye elimu, halafu elimu aliwekeza kwako Inashindwa kukusadia ?

Unashindwaje kufata grounds za kisheria Kama ulivyo elekezwa huko juu na wachangiaji kadhaa kuhusu kupata haki yako ?

Hivi ndo unasema mzee aliwekeza kwenye elimu ?



Pili Kuna doubts nyingi kwenye maelezo yako hayaja nyooka ndo maana unaona maswali kutoka kwa wadau yanakua mengi
 
Duu!!
 
Nimependa ulivyo mwita mama mlezi badala ya mama wa kambo,inaleta uzuri fulani
 
Jinsia yake ingekusaidia nini katika swala la msaada wa miradhi.

Hata kama anajinsia zote kwa pamoja hupaswi kuuliza maswali ya kipuuzi namna hiyo.

Next time pangilia maneno ya kuongea na watu wazima
Huyu ndo mzee wake aliwekeza kwenye elimu yake ?


Niseme tu huyu ndugu Kama hakuna ujanja ujanja basi atakua na uwezo mdogo Sana wa kufikiri
 
Huna ndugu wengine uliozaliwa nao tumbo moja?
Upande wa mama, kina anko je
Huyo mama sio mama yangu mzazi baada ya baba kuniacha alikua kidogo ananisaidia za matumizi ikafika muda nikipiga simu ananambia utajua utakachofanya
 
Uko sawa, maana ht historia ya mama yake mzazi hajasema. Haijulikani wao walizaliwa wangapi kwa mama yao mzazi kabla ya baba yao kuoa mke mwingine.
 
Wewe Baba ambae unapitia uzi huu..
Na unamchepuko rasmi ama sio rasmi.
Tambua kuna siku utakufa na kuwaacha watoto wako wa kwanza wakiteseka duniani, heri Mungu angekunyima uzao.
 
Akina mama wengi dawa yao ni kuwasikiliza na kuwaheshimu basi, ingawa kuna wachache wamekuwa vivuruge by nature ila wengine huwa wana react na kureciprocate vile tunawa treat wao.
Nimependa ulivyo mwita mama mlezi badala ya mama wa kambo,inaleta uzuri fulani
 
Huyu ndo mzee wake aliwekeza kwenye elimu yake ?


Niseme tu huyu ndugu Kama hakuna ujanja ujanja basi atakua na uwezo mdogo Sana wa kufikiri
πŸ’― kweli kabisa mkuu.
 
Reactions: a45
Uko sawa, maana ht historia ya mama yake mzazi hajasema. Haijulikani wao walizaliwa wangapi kwa mama yao mzazi kabla ya baba yao kuoa mke mwingine.
Ni mjanja mjanja sana aise.na watu kama hawa huwa siwapendi wenye kupindisha mambo
 
Akina mama wengi dawa yao ni kuwasikiliza na kuwaheshimu basi, ingawa kuna wachache wamekuwa vivuruge by nature ila wengine huwa wana react na kureciprocate vile tunawa treat wao.
Kweli kabisa
 
Mimi nina mtoto kama wewe anakaa na mama wa kambo, na mwanangu ana madai kama yako ni vitu ndivyo mnavyothamini na siyo utu hata kidogo, nilichokiona kwa umakini sana hukuwa na mapenzi na wala hukumpenda baba yako hata kidogo ila ulikuwa unamtumia kama nyenzo ya kufanikiwa kwako tu ndiyo maana kinachokuuma ni kukosa kodi ya nyumba na ada ya chuo ukipata hivyo sidhani hata kaburi la baba yako utalijenga. Mungu akinijalia vitu vyangu nakabidhi kanisa au msikiti nyie watu hamna mapenzi na baba zenu
 
Nashukuruni wakuu kwa kila idea ya mtu mmoja japo mpaka sasa solution ya kunisaidia ni bado sijaipata,kuna baadhi walijitokeza bahati mbaya mmoja akapata ban mwingine akanisaidia pesa ya chakula kwa siku hiyo.
Nilikuja kuomba msaada ila kuna mambo yameniumiza moyo kwa baadhi ya comments. Binafsi nilikua niko tayari kuja na details zote mkononi na ushahidi ila kuna baadhi wamenitafsili ndivo sivo na ndio kitu kilicho nifanya kujisikia mtu ambaye asha telekezwa tayari na lolote nitakalo ongea hakuna wakunisikiliza. Hii kitu inauma sana kama ikitokea upande wako binafsi kwasababu naamini kila mmoja ana ndoto zake katika haya maisha.
Kiukweli bado sijapata solution mpaka sasahivi nakama kuna mtu anaeweza nisaidia nikatimiza masomo yangu ya chuo pamoja na ndoto zangu au kwa lolote PM yangu ipo wazi au naweza kufika physically popote alipo hapa Dar es Salaam na evidence zote ninazo. Nanikipata kitu chochote nitarudi kwa ajili ya mrejesho. Natanguliza Shukrani.
 
Mdogo angu ww sio mtto tena ni mtu mzima tena msomi

Unaposema hujapata msaada nashindwa kuelewa unahitaj msaada wa namna gan

Hapa jf msaada unaopatikana ni msaada wa kimawazo utapokea mawazo tofauti tofauti kaa chin tumia akili yako chambua kizuri kitumie

Zipo secta mbali mbali zinazo husika na mambo haya nenda ukawaeleze

Kuna mmoja alikuambia kama huelewi pakuanzia nenda mahakaman utapata mwongozo huko huko

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…