Path Creator
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 223
- 133
- Thread starter
-
- #41
Huyo mama sio mama yangu mzazi baada ya baba kuniacha alikua kidogo ananisaidia za matumizi ikafika muda nikipiga simu ananambia utajua utakachofanyaNdo mana unaambiwa fuatilia mahakamani.kwani wewe sio mtoto halali wa marehemu?kama aliwekeza kwenye elimu sasa aliwekeza nini?kwa njia gani?ili hali sasa unapata shida.
Ni kweli baba alikuwa anaumwa mpka umauti unamkuta,nakupa pole kwa hilo mkuu.lkin hata kiwanja hana,alikuwa hafanyi kazi?kwanini hakukugawia japo kiasi kidogo wakati yuko hai ili hali wewe ni mwanae na huyo mwanamke sio mama yako mzazi?
Comment zako nikizisoma nipata ukakasi sana.
Pole kwa kuondokewa na mzazi uliyekuwa unamtegemea na pole kwa changamoto unazopitia.
Mkuu inasikitisha sana muda wote mimi akili haikuwa katika kufikiria mirathi japokua kikao kiliwekwa na mama wakambo alichangia hoja akisema nimadeni mengi yalibakia ivo mali nyingi kufidia madeni na mama wa kambo akiwa kama anajua kila kituKwa hiyo hukushirikishwa wakati wa ugawaji mali? Baada ya msiba kumalizika hamkukaa kikao kujadili suala la mirathi? Nani alichaguliwa kusimamia mali zilizoachwa na marehemu?
Mkuu idea yako ni nzuri ila kumbuka kuna watu wakigundua ni mtu flani hufurahi kwa kushindwa kwako na inakua tangazo kwa kila wanaomfahamu au kumuona, sio kila mtu ni mzuri kwako mkuuHalafu ingekuwa vizuri thread kama hizi mnakuja na utambulisho halisi.
Mfano mimi John Frank mwanafunzi wa mwaka wa 2 chuo kikuu UDSM college ya ÙDBS nikichukua BCOM.
Unaweza ku-upload student ID, selfie(passport size) etc.
Sasa wadogo zetu mnataka msaidiwe ila identity zenu mnajifisha .
Mkuu yeye ndio alitengwa japo alikua akisaidia sana upande wa piliPole sana mkuu ndo dunia ilivo
ila mzee wako naweza sema alikosea kujitenga na ndugu zake na kuwa mbinafsi(kulingana na maelezo yako) sasa hapo nizamu yako kutengwa pia na ndugu wa mzee wako.
tukibarikiwa kuwa na chochote tujitahidi kufikiria na kesho yetu na familia zetu
Alikua na mwanamke akawa kaachana nae zamani ambapo tulibaki nababa na ndipo akawa na mwanamke mwingine ambaye ndio mama wa kambo na mambo yake yote alikua akijua mama wa kambopole kabla ya kufatilia miradhi nikuulize hvi kwani mama ako mzazi alifunga ndoa na baba ako?ama we ni mtoto wa kambo kivipi? pia mama ako wa kambo alifunga ndoa (? kwa watoto wa kambo kama mi tusipo pewa urithi na baba zetu huwa ni tabu sana maana ata sheria aitutambui
kuna wakati hata sheria haiwez kukutambua mkuuWanasheria msaidieni kijana hapa.
Hakuna kilichobaki mkuuHili kisheria linawezekana kabisa
mkuu ninavyoongea hapa hakuna kilichobaki na mama wa kambo aliniambia nitajua mwenyeweNenda kwenye vyombo vya sheria au kwa mfumo wa sasa piga shortcut nenda kwa mkuu wa wilaya au mkoa.
Angalizo:Utakapofanikiwa heshimu mali za mzazi wako ziendeleze miaka mitano ijayo watu watataka mrejesho.
Asante mkuuSiku ukijua umepoteza na ukaamini umepoteza utakuwa na uwezo wa kupata kila kitu na zaid ulivyopoteza
Vilikua tayari chini yake mkuuMkuu umesema baada ya mambo yote kuisha kunabaadhi ya Mali ziliingia kwenye mkono wa mama wa kambo, nani alimkabidhi?au alijichukulia tu kienyeji? maana taratibu za ugawaji mali za marehemu unafanyika pindi msiba unapoisha , ndugu wa marehemu wanakaa pamoja na kila kitu hugawanywa kwa utaratibu fulani
Mkuu Path Creator hutakiwi kurudia kila comment yako habari ya mama wa kambo,mwandiko wako unanionyesha kuwa unajificha kwenye mwavuli wa mama wa kambo sana.Huyo mama sio mama yangu mzazi baada ya baba kuniacha alikua kidogo ananisaidia za matumizi ikafika muda nikipiga simu ananambia utajua utakachofanya
Kama mali zipo kwa jina la mama yako hakuna mirathi hapo, kuwa mpole.Vilikua tayari chini yake mkuu
Mkuu nimeona maswali yako yote na jibu ni kwamba tayari vilikua vimeandishwa chini ya mama wa kambo, kama mtu yuko willing kunisaidia nitamletea yote anayohitaji naku abide maelekezo yakeMkuu Path Creator hutakiwi kurudia kila comment yako habari ya mama wa kambo,mwandiko wako unanionyesha kuwa unajificha kwenye mwavuli wa mama wa kambo sana.
1.mam yako wa kambo aliwezaje kujimilikisha mali bila kikao cha familia au hata wazee wa ukoo
2. Unasema baba yako aliwekeza kwenye elimu sana,sio,ni elimu ipi aliyoiwekeza
3. Wewe ni mtoto halali wa marehemu huyo baba
4. Unasema kuwa mama yako alianza kukubadilikia baada ya kuanza kuhangaikia mirathi sio!uliangaikia kwa namna ipi
5.kuna mkuu fulani hapo juu amejaribu kukuvuta akusaidie lakini kulingana na unavyocommenthuonyeshi ushirikiano ipasavyo kwanini
6. Mpka umefikia hatua ya kwenda chuo maana umeshavuka umri wa kuwa mtoto,kwanini baba yako hakukupatia japo urithi ikiwa wewe ni mwanae?
7. Kama baba aliwekeza kwenye elimu,kwenye Bank ac kuna shilingi ngapi ya kuweza kukuendeleza kielimu
8. Ina maana kwenye ukoo wenu marehemu alikuwa hapatani na ukoo mzima kisa kupenda kwake elimu
9.kwahiyo nyie mlikuwa hamna japo ndugu mmoja ambae alikuwa anawatembelea na nyie mnamtembelea
Natamani kutichape bakora kidogo kustua akili yako itoke huko ilipomaana unatoa majibu mepesi kwenye maswali magumu.
JF ni kubwa hii na inawatu wakubwa wengi ila huwezi kuwajua wengine kwa ajili ya fake idz.ondoa ukakasi katika mwandiko wako upate msaada kijana.sentensi zako zinapwaya sana.
Pole kama mwandiko wangu hauonyeshi yale uyategemeayo.jibu maswali niliyokuuliza tafadhali.
Poleni kwa gazeti na kutokupangilia vizuri maswali
Idea nzuri mkuu ila mimi hapa saiv chuo nimestop kwakukwama ada, kodi sina nishaambiwa niondoke na pakujishikiza wala kunishika hakunaAcha kuhuzunika kisa Mama wa kambo hiyo situation ikupe nguvu za kufight!..yaan tumia huzuni zako kupambana..tena utafanikiwa .yaani huu muda unaotumua kulalama anza kuchora ramani unachomokaje! Kila siku chora ramani yako ya maisha...ukikosea rekebisha... Najioneaga uvivu kabisa kusikia mtu analia lia kisa mirathi .eish!
Umemuuliza maswali mazuri sana, ambayo hata mimi nilijiuliza lakini nikaona kwa kua yupo chuo basi asome amalize elimu yake,Mkuu Path Creator hutakiwi kurudia kila comment yako habari ya mama wa kambo,mwandiko wako unanionyesha kuwa unajificha kwenye mwavuli wa mama wa kambo sana.
1.mam yako wa kambo aliwezaje kujimilikisha mali bila kikao cha familia au hata wazee wa ukoo
2. Unasema baba yako aliwekeza kwenye elimu sana,sio,ni elimu ipi aliyoiwekeza
3. Wewe ni mtoto halali wa marehemu huyo baba
4. Unasema kuwa mama yako alianza kukubadilikia baada ya kuanza kuhangaikia mirathi sio!uliangaikia kwa namna ipi
5.kuna mkuu fulani hapo juu amejaribu kukuvuta akusaidie lakini kulingana na unavyocommenthuonyeshi ushirikiano ipasavyo kwanini
6. Mpka umefikia hatua ya kwenda chuo maana umeshavuka umri wa kuwa mtoto,kwanini baba yako hakukupatia japo urithi ikiwa wewe ni mwanae?
7. Kama baba aliwekeza kwenye elimu,kwenye Bank ac kuna shilingi ngapi ya kuweza kukuendeleza kielimu
8. Ina maana kwenye ukoo wenu marehemu alikuwa hapatani na ukoo mzima kisa kupenda kwake elimu
9.kwahiyo nyie mlikuwa hamna japo ndugu mmoja ambae alikuwa anawatembelea na nyie mnamtembelea
Natamani kutichape bakora kidogo kustua akili yako itoke huko ilipomaana unatoa majibu mepesi kwenye maswali magumu.
JF ni kubwa hii na inawatu wakubwa wengi ila huwezi kuwajua wengine kwa ajili ya fake idz.ondoa ukakasi katika mwandiko wako upate msaada kijana.sentensi zako zinapwaya sana.
Pole kama mwandiko wangu hauonyeshi yale uyategemeayo.jibu maswali niliyokuuliza tafadhali.
Poleni kwa gazeti na kutokupangilia vizuri maswali
Idea nzuri mkuu ila mimi hapa saiv chuo nimestop kwakukwama ada, kodi sina nishaambiwa niondoke na pakujishikiza wala kunishika hakuna
Mko wangapi kwa baba yenu? Mama yenu yupo hai?Alikua anathamini watoto wake kuwarithisha elimu kuliko mambo mengine. Ndugu wengine walikua hawajikita sana huko ndio kisa chakutengwa
mim tangu primary mpaka chuo nilikuwa nalelewa na mama wa kambo,naomba nikushauri kitu mkuu..wewe mtoto wa kiume acha kulalamika saana mzee dunia hii apo ulipofika pambana upate chako marehemu hufa na chake ata ukipewa hizo mali kama hauna moyo wa kutafuta chako zitakufa zote.pili,baada ya baba kufa kama wewe ndo ulianza kuulizia mali basi jua bi.mkubwa kashakujua wew una tamaa hauna moyo wa undugu fanya jua mali zetu zipo ila ondoa swala la kuonyesha kutaka kugawana endelea na maisha mengine.mm nilikuaga sielewani nae kabisa nikiwa na mawazo kama yako nikitaka tugawane nyumba ziizopo na mali zingine ila nikashauliwa na mwanaume mmoja..sasa hivi bi mkubwa ata akisikia mwanangu anaumwa anakuja faster kumchek na maisha yanasonga kama mtu na mwanae mzaziMkuu nimeona maswali yako yote na jibu ni kwamba tayari vilikua vimeandishwa chini ya mama wa kambo, kama mtu yuko willing kunisaidia nitamletea yote anayohitaji naku abide maelekezo yake