Mama Tibaijuka, Flora Mbasha &Co.-Mtashinda tu!


hao hao wapuuzi ndo wanafanya damage kubwa sana kuliko unavyodhani,wanapokua hapa wanaweka threads after threads after threads hatimae wana achieve malengo yao,kwani ni watanzania wachache sana wanaothink clitically na daima wataamini kila linalosemwa na hata hao wapuuzi kama hamna counterpart
 

Shame labda akaloge
 
Atulie aache kukwepesakwepesa, wamrime mbere na nyuma !!!!!!!!

Huyu mama amenichekesha sana ile siku Ya press conference " eti wamekuja wengi walidhan anajiuzulu .. Eti kujuzulu sio fasion
Sasa prof mzima hayo ni maneno gan?
 

bright maana yake mtu mwenye akili,unaposema eti tiba kapewa bilion1.6 na mfanyabiashara sasa kumbe ulitaka upewe wewe?
unasema hazina maelezo yeyote,maelezo ni kwamba zimetolewa kwa shule zake,sasa maelezo yapi tena unayotaka?.
unasema tibaijuka ametakatisha pesa,shurti sasa utwambie kwanini unadai hizo pesa zilikua chafu
 
wewe ni mbabaishaji tu! hujui kuwa ili pesa ya deal kwenye a/c ya serikali haiwezi kutoka bila mlolongo wa wahusika? na unajua mlolongo wa deal hiyo jinsi lilivyochezwa? au una tetea tu kwa sababu umeshiba makombo?

mlolongo lazima uwe na connection na ishu husika,sasa kwanini waziri wa ardhi na isiwe waziri wa fedha ama gavana wa benki?
 
Ningemuona wa maana sana huyu mama kama sehemu ya hela alizokwapua angezipeleka jimboni mwake kuhudumia wananchi wanaoteseka kwa kukosa maji, wanafunzi mashuleni na si kupeleka kwenye shule yake binafsi ambayo ina kila kitu kinachotakiwa kuwa nacho shule ya kimataifa. Bukoba matokeo ya darasa la saba ni mabaya na asilimia kubwa ya shule zilizoboronga ni za muleba jimboni kwa tibaijuka. Inatia hasira kusema mabilioni hayo ni mchango, huyu bob ruge hana ndugu wa kuwapa hizo zote hadi akupe wewe ukaboresha shule yako. Mwisho fuata nyayo za Chenge, Ngleja na wengine wamepiga hela lakini wako kimya tofauti na wewe kila kukicha unataka utoe ufafanuzi, utaweza wapi mama.
 
Huyu mama anashambuliwa shauri ya kidodomo chake angetulia watu wasingeendelea lakini muwasho wake umemponza ns si vinginevyo

Hajazoea wizi kaingia kwa magamba wamemuambukiza,kinachoendelea hivi sasa ni nafsi inamsuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…