Mama Sinyali Boss la Kariakoo

Wanawake kuna kipindi mnajisahau mnadhani mpo salon. Maana hapa ambacho umeandika unakijua wewe na wenzio. Yaani mkiamua kuwa chawa mnakuwa chawa kweli kweli na mkiamua kuchawiana mnachawiana kweli.
 
hii stori ina faida gani kwa jamii ya watu waliovurugwa na mfumuko wa bei? yaani hata wewe uliyeiandika akili zako ni kama haziko sawa..
 
Mirembe panakuhusu😁😁
 
Huyo sinyali wako kama yeye Mwamba kwa Nini atia huruma,si alijifanya super woman!!??

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mwenyewe anasema jina lake sinyagile
Nasikia ana damu ya kinyakyusa na kichaga
Sinyagile ni jina la kinyaki
Nanukuu maelezo yake
Moyoni nikasema ndio maana jasiri hivi maana
Sinyagile maana yake yamenikuta na kweli yamemkuta dada wa watu hii combo ya mnyak na bwashee ni shidaaa
 
Pumbavu sana , so alikuja pale kuuza sura ,watu wanazungumzia mambo mazito we waja na utumbo
Je wajua nini kipo nyuma ya pesa hizo au wewe wanjua vizuri kuliko yeye hajijuavyo ?
Wewe na uyu bonge,aka bonge laana inawahusu sana ,

Note sijazungumzia katika utetezi wa alitoa kama mfanyabiashara ,
 

Trash
 

Yaani naona watu wamezolewa na yale maneno yake ya jukwaani [emoji1787][emoji1787]

Mama Ana Special seat peponi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…