Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,560
Kwa mliosikia hotuba ya leo ya Mama Samia Suluhu, ametoboa siri ya miaka miwili ya mwanzo kama Makamu wa Rais! Amesema yeye na Waziri Mkuu walikuwa wanamlaani Magufuli kwa kuwakemea lakini baadaye wakaelewa kumbe alikuwa anawanyoosha!
Hii kauli imenikumbusha mbali kidogo, kwa wale mnaokumbuka kuna kipindi kulikuwa na tetesi miaka ya nyuma za Mama Samia kutaka kujiuzulu. Ilizua mjadala sana humu JF lakini baadaye ikapotea!
Sasa nimeamini katika kumlaani huko aliamua kujiuzulu kabla ya washauri kumtuliza na kuamua kuendelea na majukumu yake!
Pitia hapa:
Hii kauli imenikumbusha mbali kidogo, kwa wale mnaokumbuka kuna kipindi kulikuwa na tetesi miaka ya nyuma za Mama Samia kutaka kujiuzulu. Ilizua mjadala sana humu JF lakini baadaye ikapotea!
Sasa nimeamini katika kumlaani huko aliamua kujiuzulu kabla ya washauri kumtuliza na kuamua kuendelea na majukumu yake!
Pitia hapa: