MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,693
- 21,767
Mama Samia ameona ni bora kuachana na kipande cha 5 cha SGR kutoka Mwanza kwenda Isaka Shinyanga.
Itakumbukwa miaka miwili iliyopita tulileta uzi ukionyesha ujenzi wa daraja la juu mkuyuni, miaka miwili baadae daraja hilo bado kukamilika na ujenzi wake umesimama kabisa. Baada ya miaka 2000 hatimaye Mwanza yapata daraja la juu la kwanza. Sasa hivi mitambo yote imerudishwa yard na hamna wafanyakazi wowote site.
www.jamiiforums.com
Tunapoelekea kwenye uchaguzi huu, Watanzania wenzangu tujitahidi kuchagua watu wenye uwezo wa kutosha kusimamia miradi ya kimkakati
Itakumbukwa miaka miwili iliyopita tulileta uzi ukionyesha ujenzi wa daraja la juu mkuyuni, miaka miwili baadae daraja hilo bado kukamilika na ujenzi wake umesimama kabisa. Baada ya miaka 2000 hatimaye Mwanza yapata daraja la juu la kwanza. Sasa hivi mitambo yote imerudishwa yard na hamna wafanyakazi wowote site.
Tetesi: - Serikali yashindwa kulipa wakandarasi, mradi wa SGR Mwanza wasimama
Mradi wa SGR Mwanza umesimama baada ya serikali kushindwa kulipa wakandarasi. Mmoja wa vibarua kwenye mradi huo amenambia walitangaziwa na wakandarasi kuwa hakuna pesa hivyo shughuli zinasimama mpaka serikali itakapolipa.