Mama ana roho nzuri sana.Mama ni mpole na muelewa sana,ni lazima atawakubalia wakenya.
Si mkanunue Ile shamba ya jayden kubwa Sana. Kwani yeye alinunua kwa pesa ngapi? Au mashamba ya delamier alinunua kwa pesa ngapi?Kwanza bei ya shamba huko Tanzania ni nafuu sana. Tutamwagika huko kama uji.
Tunataka kununua ya TZ😛Si mkanunue Ile shamba ya jayden kubwa Sana. Kwani yeye alinunua kwa pesa ngapi? Au mashamba ya delamier alinunua kwa pesa ngapi?
Ya kwako inakushinda ya jirani utaiweza?Tunataka kununua ya TZ
Hana huo uwezoNyie jamaa miaka nenda rudi mmekuwa mkiimezea mate Ardhi yetu, tunamuasa Raisi wetu asije akaingia kwenye mtego wenu wa kutaka kuja kuwekeza kwenye masuala yahusio Ardhi, tutakuwa tumekwisha. Chonde mama Samia hawa Kalenjin na Kikuyu wasikuadae.
Ya Jirani iko very Cheap na iko ever greenYa kwako inakushinda ya jirani utaiweza?
Hamna huo uwezo mmeshindwa kujikoloni mtatuweza nchi kubwa na yenye nguvu kama Tanzania?Rais wa Tanzania akija Kenya ni habari kubwa lakini wenu akija Tanzania ni kitu kidogo Sana.Hehehe bora muendelee hivyo kutuogopa maana kwa kweli mkiachia tutawakoloni kabisa.....
Si mmesema Mnataka equal business competition,Tunakuja huko TZ tujue Nani anajua kununua mashamba,just wait wacha uogaKenyata family wana shamba hekari laki 5 kwenye fertile land ya kenya...nendeni mkanunue kwake wananchi wake.
Tunakumbuka maneno ya Rais wenu aliyepita Mwai kibaki, akiwa ziarani ughaibuni alinukuliwa akiwashawishi wakenya wenzenu waje wachukue Ardhi ya Tanzania ipo kubwa na ya kutosha.Mkome kabisa, mwambieni Uhuru mgawane aliyonayoHehehe bora muendelee hivyo kutuogopa maana kwa kweli mkiachia tutawakoloni kabisa.....
Iliyo cheap zaidi ni hiyo inayowazunguka hapo.. Kwani yeye Jayden aliipata kwa sh ngapi?Ya Jirani iko very Cheap na iko ever green
Hamna huo uwezo mmeshindwa kujikoloni mtatuweza nchi kubwa na yenye nguvu kama Tanzania?Rais wa Tanzania akija Kenya ni habari kubwa lakini wenu akija Tanzania ni kitu kidogo Sana.
Kwanza hatuwaogopi wakenya.hamna maajabu yoyote.kwenye suala la ardhi bado ardhi itaendelea kuwa ya Watanzania chini ya Rais.Licha ya mlivyokaza na kuogopa Wakenya, nilishangaa kumbe kuna Wakenya tayari wamekodi mashamba makubwa huko, sasa siku mkiachia ndio mtakoma.
Kama kuna wawekezaji WA maana shida iko wapi.kukodi maana yake ukizingua unanyangwanywa hapohapo.Licha ya mlivyokaza na kuogopa Wakenya, nilishangaa kumbe kuna Wakenya tayari wamekodi mashamba makubwa huko, sasa siku mkiachia ndio mtakoma.
Kama kuna wawekezaji WA maana shida iko wapi.kukodi maana yake ukizingua unanyangwanywa hapohapo.