Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,617
Mnampa pole ya nini wakati Sheikh Ubwabwa wa Magomeni karibu na BP alitabiri!
Unamaana sheikh huyu?
Mnampa pole ya nini wakati Sheikh Ubwabwa wa Magomeni karibu na BP alitabiri!
mkuu nilikuwa nataka kutoa koment kali ila ikabidi nicheke baada ya kusoma atiko yako.
mkuu ulijifunzia kwa yahaya husein lini haya mambo? au ndo mambo ya KAINZI krtu kale kufukunyua kusikofukunyulika?
Mwenyezi Mungu atakulinda na kukuepusha na balaaa au Husda za watu.pole Mama kwa Misukosuko.
Na Ku bore pia...bora hajagongwa kabsaaa..maana Muungwana angekuwa mpweke na safar zake za nje zingeongezeka mra miaHiyo biashara ya kupisha misafara ya viongozi au wake zao inatupotezea muda jamani!!! Inaudhi!
Moja ya mawazo ya kishetani. Kwahiyo Nkamangi unakubaliana na huyo mvuta bangi aliyetaka kumgonga my wife wa JK. Sidhani kuwa kila mtu anachowaza kinafa kusemwa hadharani hasa mbele ya waungwana kama wa humu jamvini. Hivi unakumbuka ziara ya LAURA BUSH ilikuwaje? Usiwe na mawazo potofu katika vitu vya msingi na vinavyoweza kuleta matatizo makubwa kwa nchi. Plz think twice before press the button on your computer keypadHiyo biashara ya kupisha misafara ya viongozi au wake zao inatupotezea muda jamani!!! Inaudhi!
Moja ya mawazo ya kishetani. Kwahiyo Nkamangi unakubaliana na huyo mvuta bangi aliyetaka kumgonga my wife wa JK. Sidhani kuwa kila mtu anachowaza kinafa kusemwa hadharani hasa mbele ya waungwana kama wa humu jamvini. Hivi unakumbuka ziara ya LAURA BUSH ilikuwaje? Usiwe na mawazo potofu katika vitu vya msingi na vinavyoweza kuleta matatizo makubwa kwa nchi. Plz think twice before press the button on your computer keypad
Na wewe Mwanakijiji ushaanza kuwa Yahya Hussein???Kule kwenye saiti yangu niliandika hivi tarehe 26 na bado naamini tutakuwa na ajali kubwa ya kiongozi fulani.. isipokuwa kama tutawakinga kwa maombi: