Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Du hii kali!Mama ana vioja huyu.............
Naskia jana kaahidi barabara ya lami.
Du hii kali!Mama ana vioja huyu.............
Naskia jana kaahidi barabara ya lami.
Nakubaliana na wewe....sio haki kabisa, mimi umenitupia kitu nisichotaka, nikaona kinamfaa mbwa wangu. sasa tatizo liko wapi?Mtu hajaomba unampa, akiamua kumsetiri mbwa wake unamweka lupango!