Mama Rwakatare aichongea JamiiForums

Mama Rwakatare aichongea JamiiForums

Kama kuna mtu yupo karibu na mama Lwakatare amuulize ile NGO ya Mission to the Need iliyokuwa na makao makuu yake mtaa wa zanaki ilienda wapi?

Zile mali alizowadhulumu wenzake anazikumbuka? Anakumbuka kuwa Mission to the Need ndiyo mzazi wa St. Mary's Schools?

Je, ameishatubu baada ya kuwadhulumu wenzake? Kanisa lake likichunguzwa atabaki salama?

Kwanini anaendelea kuwaibia Watanzania kwa kuwatumia baadhi ya waumini wake ambao huwa anawanunulia suit na kuwaweka viti vya mbele?
 
MOD jiandaeni kupokea members wapya baada ya hii promo ya leo. Naamini wengi watataka kujua (kama hawajui) JF kuna nini na wakigusa tu watatamani kuchangia. Hapo ndo safari ya kuwa member itaanza.
 
JF ni moto kama concentrated ACID ukigusa yatakukuta ya sungura ya kuwa na mkia mfupi.....rwakatare mulize kobe kwanini ana mzigo mpaka leo unafikiri alipenda????

kwanza tabia yako ya kufungisha ndo na kuwambia wadumu milele na hakuna wa kutenganisha kina muuzi mungu mbona wewe ya kwako umeivunja na hakuna bible inayokuruhusu.......

wacha kabisa hakuna wa kuigusa jf milele labda mungu ashuke....akiendelea tutamwga humu kila kitu........
 
Ndege wanaofanana huruka pamoja, hao ndiyo wabunge wa CCM.
 
Kama huyu mchungaji alikuwa anatafuta air time JF kweli ameipata. Huyu mchungaji alitoa kali ya mwaka mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma alikofikishwa kujieleza kwa nini hakujaza fomu ya kutangaza mali zake, baada ya kudai kuwa shetani ndiye amepoteza fomu hizo kana kwama alimpa shetani hizo form azipeleke kwenye Baraza la Maadili. Huyu anahitaji special thread.
 
kwani wikileaks imefungwa nini dhamira yako mama mchungaji......sijui mchungaji...kwani roho mtakatifu hakuongozi ukiwa unataka kuongea bungeni....
 
Hebu ngoja kidogo hadi hapo Mkuu Ng'wana Sweke, wataalam wetu wa tiba hapo Muhimbili hivi kweli huyu Mama Lwakatare hana uhusiano wowote wa kibaolojia (DNA) na mpendwa wetu marehemu Dokta Remmy Ongala? Mbona wanafanana sana sana sura hadi sauti?

Mkuu Uwezo Tunao ukiachilia mbali suala la huyu mama pengine kuwa na mahusiano ya kinasaba(DNA)na dr Ongara,Ongara alikuwa na matendo mabaya na ya hovyo sana kama ilivyokuwa sura yake kabisa,nilikuwa mpenzi wa show zake sana 1980s enzi za machimbo ya dhahabu Nyarugusu, Mgusu na Nyakagwe huku Geita,Mwanza enzi za kuhila hizo,Remmy alikuwa akifanya vituko huwezi amini,anyway sihukumu mtu ila Remmy aliokoka baadaye,sasa sijui huyu mama kama naye kaokoka ama yuko katika states 2 at a goal,yaani ni mchungaji na tapeli at the same time
 
Toka lini mwizi akawapenda polisi?. Huyu mama aka mchungaji ni mwizi na tapeli mkubwa. JF inaongea ukweli na imekuwa mstari wa mbele kuanika machafu yake.
 
Ni mpakwa mafuta wa Bwana ambaye kupitia yeye wengi waliokuwa na matatizo ya kiroho walifunguliwa
 
There are currently 263 users browsing this thread. (67 members and 196 guests)

HAYA WAGENI NAOMBA MJITAMBULISHE.....anza na wewe mama mnnene kama mchungaji vile.....mama rw...
 
Mkuu Kimbunga,

Ndio haya haya msizi ya kunuka niliokua nikikwepa kwa kumstahi tu huyu mama maana undani tulionayo juu ya KASHFA hiyo nzima, nasema bora asithubutu kurusha mawe hovyo wakati ngali anajua fika kwamba yeye mwenyewe 'ANAISHI NDANI YA NYUMBA YA KIOOI' uzunguni kunakopakana na uswahilini huku.

Ni kutokana n huruma tu ndio maan naendelea kuwasihi wajumbe humu kwamba CHONDE TUMSAMEHE HUYU MAMA YETU bure kabisa maana tukimuelekezea kimng'amuzi cha JF huenda akakimbia mji pamoja na kanisa lake.

Nani atapendezewa naa hali kama hiyo ya 'Kondoo Kubaki bila Mchungaji' shauri ya taa ya JF kumulika hadi mita 10 chini ya ardhi kuhusiana na huyu mama tangu huko nyuma?

Mweh, busara zituongoze jamani katika hili kwa hakujua kwamba JF ni mdodo gani!! Mtu hushangai leo hii Mwita Maranya anapomgongea Mkuu Ritz na FaizaFoxy bonge la 'LIKE'?

Si matani hadi hapo nyie!


Kama kuna mtu yupo karibu na mama Lwakatare amuulize ile NGO ya Mission to the Need iliyokuwa na makao makuu yake mtaa wa zanaki ilienda wapi?

Zile mali alizowadhulumu wenzake anazikumbuka? Anakumbuka kuwa Mission to the Need ndiyo mzazi wa St. Mary's Schools? Je ameishatubu baada ya kuwadhulumu wenzake? Kanisa lake likichunguzwa atabaki salama? Kwa nini anaendelea kuwaibia Watanzania kwa kuwatumia baadhi ya waumini wake ambao huwa anawanunulia suit na kuwaweka viti vya mbele?
 
Kama huyu mchungaji alikuwa anatafuta air time JF kweli ameipata. Huyu mchungaji alitoa kali ya mwaka mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma alikofikishwa kujieleza kwa nini hakujaza fomu ya kutangaza mali zake, baada ya kudai kuwa shetani ndiye amepoteza fomu hizo kana kwama alimpa shetani hizo form azipeleke kwenye Baraza la Maadili. Huyu anahitaji special thread.
Kwa vile amefanya promo mjengoni, basi tutampa air time ya kutosha.
Kwanza atueleze shetani alipoweka nyaraka zake. Pili, uadilifu wa kiroho wa kununua kiwanda cha Mang'ula na je hakutoa kitu maana inaonekana kuna mkono wa shetani vile.
 
Back
Top Bottom