Mama Princess

Ha ha ha, yaani mie nina matatizo sana.Sometimes I hate myself kwa kuwa so nosy kimoyomoyo.


Mie kuanza na disclaimer inamaanisha 'hey buddies, today am playing safely but same old sh*t'

 

Hahaha Shem nimekukubali! duh hiyo last sentence tu...#bonge la punchline...if yu no waram saying.

Endelea kufaidi mkuu. Ila this time uwe makini. Mapenzi ni upofu

Niendelee!??

JF ina member zaidi ya 10,000 ukikataliwa endelea kuwaomba wengine.

Kuna member na member Mrembo by Nature...

hivi mlipokuwa mnagegedana princess alikuwa anawekwa wapi?

TANMO, hata nikikuambieni, hakika hamtonisadiki. Jibu lako analo babu Asprin, aliwahi kunifunza jinsi ya kudeal na situation kama hizo!
 
Last edited by a moderator:
@tanmo, hata nikikuambieni, hakika hamtonisadiki. Jibu lako analo babu Asprin, aliwahi kunifunza jinsi ya kudeal na situation kama hizo!

Kaka nipe Desa, na mimi nilihifadhi jasti in kesi...
 
loh Mentor nowdays hausomeki kama Kagame mmmmh
 
Last edited by a moderator:
Mkuu angalia wasije wakafumua Linda na kukumwagia ndani Mayonise ya kutosha.
 
Eti mtoto mchumba wako? Jimmy Saville wewe
 
Nimejikuta nacheka kwa sauti, mpaka watu wakanishangaa. story nzuri sana jitahidi utoe kitabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…