Abrianna
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 4,697
- 15,375
Hahahha inabisi nicheke tu, basi huyo mkwe kiboko, pole sanaWamemkanya mpaka wameenda kwao
Hahahha inabisi nicheke tu, basi huyo mkwe kiboko, pole sanaWamemkanya mpaka wameenda kwao
Nilishaolewa rafiki, nakatibia kupata wajukuuOna sasa unavyoandika kwa kutumia IQ kubwa. Ndio maana ninasemaga siku zote unafaa kuwa mke wangu.
oooohoooo kumbe mama mkwe. Kama unao wa kike niwekee mmojaNilishaolewa rafiki, nakatibia kupata wajukuu
Labda umri wake ni mkubwa sana, mvumilie tu msikilize mwenzio anasemaje!Wamemkanya mpaka wameenda kwao
Yawapasa mabinti wote wakuigeKatika vitu I am proud of ni uamuzi wa kumchukulia Mamangu Mkwe kuwa ni Mama yangu.
Na sijawahi kujutia. Why? Because Mama Yangu Mzazi hajakamilika, Ana madhaifu yake mengi tu kama mimi na Mama Yangu.
Why nitarajie Mama wa mwenzangu awe kamilika wakati mie na Mama Yangu hatujakamilika.
So namchukulia kama an ordinary human being. Nampa heshima yake kama Mzazi wangu.
Kwa huu uandishi, ww ndiye mwenye shida
Kwani bibi yao ayafanyao huwa anayaficha? Kasema mpaka anapiga sasa yeye sumu ipi kawapa watoto wake?Usikute na watoto ushawajaza sumu kuhusu bibi yao.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Chukua bia pesa utalipa mwisho wa mweziKwangu afanye nini mama mkwe? Aje kusalimia na kuondoka, kama anataka kukaa na mwanae amchukue akakae nae kwake . Nataka nikae na mke wangu bila usumbufu. Ila mama yangu mzazi sina la kusema ni kumbembeleza kama mtoto.
Mungu hataki hivyoTuache tu masuala ya kuoana,iwe nikupendana na kuzaa mtoto ukishindwana pendana na mwingine au jitulizie kimya
We ulikuwepo? Usihukumu wakati hujamsikiliza bibi.Kwani bibi yao ayafanyao huwa anayaficha? Kasema mpaka anapiga sasa yeye sumu ipi kawapa watoto wake?
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Duh!!!,huyo sasa ni noma aiseKuna rafiki yangu ambaye ni jinsia ya kike, na katika kupiga story za wakwe akasema mama mkwe akija kuwasalimia huwa hakai zaidi ya siku mbili kwa sababu huwa anapiga kelele wakati wa tendo la ndoa mpaka mama mkwe anasikia na baada ya siku mbili anaaga. Hii inaitwa wanawake na vijimambo.
😂😂😂Kwa huu uandishi, ww ndiye mwenye shida
Na ikumbukwe kuwa kila mmoja anakuwa anachotaka kwa mwanaye wakiume, mwingine alitaka mwanaye amuoe binti fulani lakini mwanaye kaoa hivyo inakuwa shida hata ufanyie nini yeye yote mabaya sababu ni hakukubali mwanaye akuoeYawapasa mabinti wote wakuige
Hata wewe unayechangia hapa haukuwepo hivyo sote hapa kasoro mleta uzi ndiye ajuaye, kama tunalishwa matango pori haya kama twala nanasi haya!We ulikuwepo? Usihukumu wakati hujamsikiliza bibi.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Ngoja nimshauri waifu aanze kula kitu cha Arusha kumbe kina faida hiviKatika vitu I am proud of ni uamuzi wa kumchukulia Mamangu Mkwe kuwa ni Mama yangu.
Na sijawahi kujutia. Why? Because Mama Yangu Mzazi hajakamilika, Ana madhaifu yake mengi tu kama mimi na Mama Yangu.
Why nitarajie Mama wa mwenzangu awe kamilika wakati mie na Mama Yangu hatujakamilika.
So namchukulia kama an ordinary human being. Nampa heshima yake kama Mzazi wangu.
Kama ulaya kimkataba zaidi.Tuache tu masuala ya kuoana,iwe nikupendana na kuzaa mtoto ukishindwana pendana na mwingine au jitulizie kimya
Imekaa poa hii....Tuache tu masuala ya kuoana,iwe nikupendana na kuzaa mtoto ukishindwana pendana na mwingine au jitulizie kimya