Mama ndalichako ona hii

NI MTAZAMO TU

JF-Expert Member
Feb 20, 2014
1,203
998
Nimekuwa nikijiuliza sana ,Watt wetu wamemaliza minihani ya form 4 mwaka jana mwezi wa 11 na mpaka sasa ni miezi nane wapo majumbani wakisubiri kupangiwa SHULE zao.

Hivi si hatari kweli kwa kizazi hili Cha nyoka, na hata Material za shule zilisha watoka vichwani huku wakingoja kupangiwa shule,

Makundi ya vibinti hivyo vinavyo jiandaa kwenda form 5 nivingi sana haswa maeneo ya mwenge vikidai tunaenda mapambano kujisomea,

Hiii sio hatari kweli, kama hajavitiwa mimba na kuwa na Watt Basi VITAKUWA VIMEMUA KUOLEWA, huu muda ni mrefu sana wa kujiunga na hiyo form 5 ananisubiriwa.

Hakuna njia nyingine ya kufanya kweli? ili baada ya matokeo tu Watt wajiunge na shule zao haraka iwezekanavyo.

Mimi nimeona hili kama mwewe wa Clouds.
 
Sasa unataka alione hili huku hujaeleza straight kuwa nini kifanyike na lini ili kulimaliza hili?
 
Umeona kitu kizuri kwamba watoto wetu wanatakiwa wasiwe idle. Mimi nashauri ni muda ambao mzazi anatakiwa amfundishe mwanaye nje ya fizikia, historia ya kizungu nk. Baada ya kumaliza kidato cha nne ndio muda ambao tunapata kuwapa elimu ya jando na unyago ambaya watoto wetu wameikosa. Mambo mengine kama values za jamii yake ndio muda muafaka.
 
Tusiwatwishe mzigo Viongozi wetu wa Serikali, kwani Mzazi au Mlezi hana Mchango ktk hilo??. Ikiwa Mzazi anayeishi Karibu na mtoto akishindwa kutimiza wajibu wake, Je, Serikali ndo itaweza???!!!.Kila Mmoja atimize wajibu wake kadiri ya majira na wakati.
 
Kuto kutoa elimu ndio mtaji wao, mmeachwa mpate mimba na kuwa wakabaji ili nafasi wapewe wachache , tulio wengi tuendelee kuburuzwa nao.
 
Tusiwatwishe mzigo Viongozi wetu wa Serikali, kwani Mzazi au Mlezi hana Mchango ktk hilo??. Ikiwa Mzazi anayeishi Karibu na mtoto akishindwa kutimiza wajibu wake, Je, Serikali ndo itaweza???!!!.Kila Mmoja atimize wajibu wake kadiri ya majira na wakati.
Lengo sio kuwatwisha mzigo viongozi wetu,ila ni kutafuta tafakuli mbadala kwa pamoja tufanyaje katika hili....
 
Umeona kitu kizuri kwamba watoto wetu wanatakiwa wasiwe idle. Mimi nashauri ni muda ambao mzazi anatakiwa amfundishe mwanaye nje ya fizikia, historia ya kizungu nk. Baada ya kumaliza kidato cha nne ndio muda ambao tunapata kuwapa elimu ya jando na unyago ambaya watoto wetu wameikosa. Mambo mengine kama values za jamii yake ndio muda muafaka.
Yaani miezi 8 ni mingi sana Watt hawa kuwa Idle, kama unakabint kako unakachunga weee watu wasikatie mimba mpka basiii,tunaona bora wangekuwa shule.
 
Sijui na mie nimwambie suala la hela yake aliyoitoa kama Zawadi ktk taasisi fulani ilivyotafunwa huyu mama?
 
Kwa hiyo hao watoto toka wawe form four na wakamaliza Wazazi/Walezi wamejitoa kuwalea na kuiachia serikali?
 
Kwa hiyo hao watoto toka wawe form four na wakamaliza Wazazi/Walezi wamejitoa kuwalea na kuiachia serikali?
Hebu jitahidi kusoma uzi wote kiongozi, maana inaonekana umesoma juuu juu tu.

Watt waliomaliza form 4 na kumaliza shule wapo majumbani tangia mwezi wa 11 mwaka jana wakisubiri kupangiwa shule yaani (form 5) mpka tunaenda mwezi wa 6 sasa wapo majumbani wakisubiri hizo SHULE.
Sasa utakuwa umeelewa
 
Kwenye maisha kuna elimu ya aina 2. Formal na informal. Tusing'ang'anie apate moja tu utampa shida mbeleni. Tumia muda alio nyumbani baada ya kumaliza kidato cha nne ili umpe elimu aliyoikosa shule-informal one
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom